Nitawamiss nyote

Nitawamiss nyote

Sasa hata zile mambo za kutunza mwili mfano uso kwa njia za asili ndo kwanza sijakopi. Unadai unaondoka, aaah... Vitu natural ndo basi tena au? Kuwa na huruma basi!
Maskini we !!kumbe hata ww ulikua unafatilia[emoji26]sorry Ila kwa machache nliyoyaleta natumai yatawasaidia insha Allah
 
Nina account yang ya insta nimeeka mapishi 500+ ukijiskia nikuadd utanifata kwa mda wako,mapishi utajifunzia kule,huo ndio mtandao wangu wa kipekee nmeufungua kwa maslahi tu ya kujiekea posts zang kama izo za mapishi na kuwafollow baadh ya watu tu.
Alaf mie sio mama[emoji23][emoji23]ndo kwanza kigori
Kigori[emoji23] [emoji39] [emoji39] [emoji39] Naja PM, Tutee kidogo.

Unaweza kuwa umenipata Mume[emoji39] [emoji39]
 
Maskini we !!kumbe hata ww ulikua unafatilia[emoji26]sorry Ila kwa machache nliyoyaleta natumai yatawasaidia insha Allah
JF ya ajabu sana. Unaweza kuta mtu anakufuatilia bila kuchangia chochote, mwisho wa siku credit zako anakupa kimoyo moyo. Mfano mimi, huwa siwezi kuchangia ila nasoma na kufuatilia,kujaribu. Leo yamenikuta na kunishinda... Nime type.[emoji17] [emoji17]
 
Uwiiii sitaki bby jmn nionee huruma niombe vitu vingine. Niachie tu wanaume wako wengi duuuh[emoji38] sikia kilio changu
[emoji23][emoji23][emoji23]uko makinii...Bora uwe ivoivo Mana ukilegea tu,mm namchukua mamy,alaf si unajua nilianza kumvizia kitambo
 
Back
Top Bottom