instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,037
- 17,212
Habari zenu.
Mimi sio mwanasiasa lakini leo kama mtanzania mpenda maendeleo nilidownload ilani ya CCM 2020-2025. Ili walau nipate hope na serikali ya Sasa na kama kweli wanatimiza walichoahidi mwaka 2020 kuelekea 2025.
Aisee nimesikitika sana. Kwa hali hii hatuendi popote kama nchi.
Nimeangalia kipengele kimoja tu cha Ujenzi wa miundombinu katika majiji hasa jiji la Dar. Hakuna kilichotekelezwa kulingana na ilani ya CCM.
Tazama hizi flyover zote zilizoahidiwa kujengwa Dar kati ya 2020 hadi 2025. Na huu ni mfano tu kuwa CCM wajitafakari wakija kuchagua Serikali yao 2025.
Kati ya flyover saba mbili tu ndo zimejengwa na kukamilika. Na leo ni 2024 july.
Ujenzi wa Barabara Dar es Salaam kama wanavyosema kwenye ilani hazijajengwa hata robo yake.
Hebu oneni wenyewe mipango kabambe iliyo kwenye ilani ya CCM 2020-2025. Kama imetekelezwa.
Huko huko CCM mjitafakari kama mtaruhusu serikali hii ya sasa mnayoisimamia kuendelea kutawala mpaka 2030. Tuangalia future ya Taifa hili sio matumbo yetu. Hope mnasikia Wajumbe wa CCM 2025
Ilani yote ya 2020-2025 hii hapa. Isomeni na mlinganishe yaliyotekezwa mpaka sasa mwaka mmoja ukiwa umebaki muda kuisha 2025
Mimi sio mwanasiasa lakini leo kama mtanzania mpenda maendeleo nilidownload ilani ya CCM 2020-2025. Ili walau nipate hope na serikali ya Sasa na kama kweli wanatimiza walichoahidi mwaka 2020 kuelekea 2025.
Aisee nimesikitika sana. Kwa hali hii hatuendi popote kama nchi.
Nimeangalia kipengele kimoja tu cha Ujenzi wa miundombinu katika majiji hasa jiji la Dar. Hakuna kilichotekelezwa kulingana na ilani ya CCM.
Tazama hizi flyover zote zilizoahidiwa kujengwa Dar kati ya 2020 hadi 2025. Na huu ni mfano tu kuwa CCM wajitafakari wakija kuchagua Serikali yao 2025.
Kati ya flyover saba mbili tu ndo zimejengwa na kukamilika. Na leo ni 2024 july.
Ujenzi wa Barabara Dar es Salaam kama wanavyosema kwenye ilani hazijajengwa hata robo yake.
Hebu oneni wenyewe mipango kabambe iliyo kwenye ilani ya CCM 2020-2025. Kama imetekelezwa.
Huko huko CCM mjitafakari kama mtaruhusu serikali hii ya sasa mnayoisimamia kuendelea kutawala mpaka 2030. Tuangalia future ya Taifa hili sio matumbo yetu. Hope mnasikia Wajumbe wa CCM 2025
Ilani yote ya 2020-2025 hii hapa. Isomeni na mlinganishe yaliyotekezwa mpaka sasa mwaka mmoja ukiwa umebaki muda kuisha 2025