Pre GE2025 Nitawashangaa CCM mkiruhusu Serikali hii iendelee mpaka 2030. Hata 30% ya ilani 2020-2025 haijatekelezwa!

Pre GE2025 Nitawashangaa CCM mkiruhusu Serikali hii iendelee mpaka 2030. Hata 30% ya ilani 2020-2025 haijatekelezwa!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Habari zenu.

Mimi sio mwanasiasa lakini leo kama mtanzania mpenda maendeleo nilidownload ilani ya CCM 2020-2025. Ili walau nipate hope na serikali ya Sasa na kama kweli wanatimiza walichoahidi mwaka 2020 kuelekea 2025.

Aisee nimesikitika sana. Kwa hali hii hatuendi popote kama nchi.

Nimeangalia kipengele kimoja tu cha Ujenzi wa miundombinu katika majiji hasa jiji la Dar. Hakuna kilichotekelezwa kulingana na ilani ya CCM.

Tazama hizi flyover zote zilizoahidiwa kujengwa Dar kati ya 2020 hadi 2025. Na huu ni mfano tu kuwa CCM wajitafakari wakija kuchagua Serikali yao 2025.

View attachment 3038618
Kati ya flyover saba mbili tu ndo zimejengwa na kukamilika. Na leo ni 2024 july.
Ujenzi wa Barabara Dar es Salaam kama wanavyosema kwenye ilani hazijajengwa hata robo yake.

View attachment 3038619
Hebu oneni wenyewe mipango kabambe iliyo kwenye ilani ya CCM 2020-2025. Kama imetekelezwa.

Huko huko CCM mjitafakari kama mtaruhusu serikali hii ya sasa mnayoisimamia kuendelea kutawala mpaka 2030. Tuangalia future ya Taifa hili sio matumbo yetu. Hope mnasikia Wajumbe wa CCM 2025


Ilani yote ya 2020-2025 hii hapa. Isomeni na mlinganishe yaliyotekezwa mpaka sasa mwaka mmoja ukiwa umebaki muda kuisha 2025
Rais wa ujenzi aliondoka mkuu.. hii ni awamu nyingine
 
Habari zenu.

Mimi sio mwanasiasa lakini leo kama mtanzania mpenda maendeleo nilidownload ilani ya CCM 2020-2025. Ili walau nipate hope na serikali ya Sasa na kama kweli wanatimiza walichoahidi mwaka 2020 kuelekea 2025.

Aisee nimesikitika sana. Kwa hali hii hatuendi popote kama nchi.

Nimeangalia kipengele kimoja tu cha Ujenzi wa miundombinu katika majiji hasa jiji la Dar. Hakuna kilichotekelezwa kulingana na ilani ya CCM.

Tazama hizi flyover zote zilizoahidiwa kujengwa Dar kati ya 2020 hadi 2025. Na huu ni mfano tu kuwa CCM wajitafakari wakija kuchagua Serikali yao 2025.

View attachment 3038618
Kati ya flyover saba mbili tu ndo zimejengwa na kukamilika. Na leo ni 2024 july.
Ujenzi wa Barabara Dar es Salaam kama wanavyosema kwenye ilani hazijajengwa hata robo yake.

View attachment 3038619
Hebu oneni wenyewe mipango kabambe iliyo kwenye ilani ya CCM 2020-2025. Kama imetekelezwa.

Huko huko CCM mjitafakari kama mtaruhusu serikali hii ya sasa mnayoisimamia kuendelea kutawala mpaka 2030. Tuangalia future ya Taifa hili sio matumbo yetu. Hope mnasikia Wajumbe wa CCM 2025


Ilani yote ya 2020-2025 hii hapa. Isomeni na mlinganishe yaliyotekezwa mpaka sasa mwaka mmoja ukiwa umebaki muda kuisha 2025
Mkuu

Halafu hapo tunaambiwa makusanyo yameongezeka.......Lol!!

Kila kitu tunaambiwa kafanya rais wakati Ilani ya chama chao ndicho ilichokiahidi kwa wananchi kutekeleza!!!
 
Namtukana marehemu ila unaumia wewe, basi jiwe limekupata
Jiwe lilikupata wewe ndio maana mpaka leo japokua lipo katika umauti huachi kuweweseka. Hukosekani kwenye moja ya makundi yafuatayo:
1. Shoga
2. Mtumishi hewa
3. Mla madawa ya kulevya
 
Jiwe lilikupata wewe ndio maana mpaka leo japokua lipo katika umauti huachi kuweweseka. Hukosekani kwenye moja ya makundi yafuatayo:
1. Shoga
2. Mtumishi hewa
3. Mla madawa ya kulevya
Kile ulichokizoea kukifanya ndiyo hukujia kila unapokosa majibu. Pole msenge wewe. Mashoga wanajijuwa wenyewe ndiyo maana hudhaani na wenzao ni mashoga.
 
Magufuli tu ndiye angeweza kapambania hizo ahadi.
Tuliye naye hana huo uwezo.
Yule ndio alikuwa muongo namba moja. Nikikumbuka ule utapeli wake wa Tanzania yake itakuwa ya viwanda, kisha ilipofika wakati wa kampeni za 2020 akawa hadhubutu kutaja neno viwanda, ndio nilijua ni tapeli wa kiwango gani.
Jingalao
 
Kama waliiandika kwenye plan inamaana waliona wamauwezo wa kuitekeleza na ndo maana watu waliwachagua.

2025 ni kujieleza kwa nini hawajaitekeleza na kwa nini tuendelee kuwachagua
Walichaguliwa na nani? Kwenye ule uchaguzi wa kihayawani ungewezaje kujua kama wananchi waliwachagua kweli?
 
Kile ulichokizoea kukifanya ndiyo hukujia kila unapokosa majibu. Pole msenge wewe. Mashoga wanajijuwa wenyewe ndiyo maana hudhaani na wenzao ni mashoga.
msenge baba yako. Nilichozoea kufanya ni kuwapopoa mandezi kama wewe, tulia dawa ikuingie
 
msenge baba yako. Nilichozoea kufanya ni kuwapopoa mandezi kama wewe, tulia dawa ikuingie
Jina lako lenyewe unaitwa Screw!! Umezoea kuwa screwed. Peleka makalio yako kwa baba yako akaku screw
 
Habari zenu.

Mimi sio mwanasiasa lakini leo kama mtanzania mpenda maendeleo nilidownload ilani ya CCM 2020-2025. Ili walau nipate hope na serikali ya Sasa na kama kweli wanatimiza walichoahidi mwaka 2020 kuelekea 2025.

Aisee nimesikitika sana. Kwa hali hii hatuendi popote kama nchi.

Nimeangalia kipengele kimoja tu cha Ujenzi wa miundombinu katika majiji hasa jiji la Dar. Hakuna kilichotekelezwa kulingana na ilani ya CCM.

Tazama hizi flyover zote zilizoahidiwa kujengwa Dar kati ya 2020 hadi 2025. Na huu ni mfano tu kuwa CCM wajitafakari wakija kuchagua Serikali yao 2025.

View attachment 3038618
Kati ya flyover saba mbili tu ndo zimejengwa na kukamilika. Na leo ni 2024 july.
Ujenzi wa Barabara Dar es Salaam kama wanavyosema kwenye ilani hazijajengwa hata robo yake.

View attachment 3038619
Hebu oneni wenyewe mipango kabambe iliyo kwenye ilani ya CCM 2020-2025. Kama imetekelezwa.

Huko huko CCM mjitafakari kama mtaruhusu serikali hii ya sasa mnayoisimamia kuendelea kutawala mpaka 2030. Tuangalia future ya Taifa hili sio matumbo yetu. Hope mnasikia Wajumbe wa CCM 2025


Ilani yote ya 2020-2025 hii hapa. Isomeni na mlinganishe yaliyotekezwa mpaka sasa mwaka mmoja ukiwa umebaki muda kuisha 2025
Wenzako wanayaona mafanikio Kwa kiwango Cha pesa zinazokopwa!!

Tumekopa kweli kweli
 
Back
Top Bottom