Pre GE2025 Nitawashangaa CCM mkiruhusu Serikali hii iendelee mpaka 2030. Hata 30% ya ilani 2020-2025 haijatekelezwa!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kazi za wanaume anatumwa chura ulitegemea nini? Hiyo ilani ingetekelezeka chini ya Rais wa kweli JPM tu sio huyu mwanasesere
 
Inabaki tu ni manifesto wala siyo Biblia au Quran ambayo huwezi kubadili.

Ya Afrika Kusini, Ufaransa na Uingereza yanabaki huko huko.
 
Inabaki tu ni manifesto wala siyo Biblia au Quran ambayo huwezi kubadili.

Ya Afrika Kusini, Ufaransa na Uingereza yanabaki huko huko.
Angalau umeleewa nilichosema.
 
Kazi za wanaume anatumwa chura ulitegemea nini? Hiyo ilani ingetekelezeka chini ya Rais wa kweli JPM tu sio huyu mwanasesere
Mfuate pale Chato tumemfukia. Angekuwa mwanaume wa kweli asingekufa na mafua ya corona
 
Wewe si umeona hayo niliyoeleza hapo Juu,kwani yote Yako kwenye ilani?
 
Wewe si umeona hayo niliyoeleza hapo Juu,kwani yote Yako kwenye ilani?
Nimeyaona lakini mleta mada amesema asilimia 30 ya ilani ya 2020-2025 imefanywa kwa asilimia 30 tu!

Anyway, jamaa wa TRA fedha aloficha nyumbani kwake (bilioni 7 ) mngeipeleka kule kwenye shule watoto wasomea chini na shule zingine za aina hiyo.

Ni aibu kutetea chama cha Mapinduzi ambacho chatawala Tanzania miaka zaidi ya 62 watoto wasomea chini na hawana ubao.

Zipo sehemu zingine za nchi yetu kuna vijidaraja vya mbao ambavyo ni hatari kwa maisha ya watu mngejenga angalau vidaraja vidogo.
 
Ya kweli haya mkuu?
 
CCM WOTE NI WAPIGA DILI WANAKULA KWA UREFU WA KAMBA TENA KWA KUPOKEZANA
 

Meli mpya zinajengwa ziwa Victoria, Tanganyika na Nyasa
 
JPM yupi? Aliahidi viwanda kila wilaya, million 50 kila kijiji, pamoja na ajira milion 2 vipi alitekeleza? Wote ni wale wale tu.

Njoo mkoa wa Pwani ndiyo utajionea Tanzania ya viwanda
 
Ni uongo,kwanza amechukua sampling ya sekta Moja na Mkoa mmja lakini haja consider yaliyofanyika ila Yako Nje ya ilani.
 
Mfuate pale Chato tumemfukia. Angekuwa mwanaume wa kweli asingekufa na mafua ya corona
baba yako mzazi mbona kafa kaacha laana aliyosahau kuivalia condom inasumbua JF? je na yeye hakua mwanaume?
 
Mama alikwisha sema wapigieni kura hao ila CCM ndiyo itaunda serikali.
 

Hivi unayosema yanaingia akili kweli?

Hivi unaweza kuwaambia haya unayoyasema mfano wananchi wa Temeke Yombo Vituka walioahidiwa na chama walichokichagua kwa mkataba wa makubaliano kuwa kitajenga barabara au kituo cha afya au hili na kile kwa kuwaambia kuwa badala ya kufanya hayo tuliyoahidi, tumepeleka pesa Busisi Mwanza kujenga daraja au Bwawa la umeme la Stiglers Gorge? Really?

Wewe huoni kuwa huo ni udanganyifu na utapeli wa kisiasa? Na kwa kweli hii ndio mbinu ya ulaghai ambayo CCM inautumia na kwa kuwa imegundulika watu wataambiwa na wataelewa tu...
 
baba yako mzazi mbona kafa kaacha laana aliyosahau kuivalia condom inasumbua JF? je na yeye hakua mwanaume?
Na wewe mimba yako mama yako alitunga nje ya tumbo la uzazi, ndiyo maana unachojuwq ni matusi tu
 
Ukisikia mtu anasema yeye sio mwanasiasa muogope kama ukoma ,ni muhongo , siasa ni maisha yetu ya kila siku ,
 
Kwa hiyo Mbowe amesababisha mkwamo kwenye ilani ya ccm? Abdul mtoto wa kiume wa Kizimkazi ameanzisha urafiki na adui wa taifa Rostam Aziz....tutashuhudia mengi kabla 2030
 
Na wewe mimba yako mama yako alitunga nje ya tumbo la uzazi, ndiyo maana unachojuwq ni matusi tu
aheri mimi ninayekutukana wewe mpumbavu unayepumua bila kuwa na faida yoyote kuliko wewe unayemtukana marehemu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…