Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 3,474
- 3,744
Labda aliongezewa babakoWafanyakazi wote wameongezewa mshahara labda wewe umeajiriwa Chadema kule hawaongezewi
Ana maana bakora/vibokoHapa mkuu ndio sijaelewa vizuri!
Ulevi wako sasa sio wa bia yetu, nadhani ni mataputapu kwa sasa
Alio
Labda aliongezewa babako
Wacha uongo wewe! Waongeze mishahara halafu washindwe kujinadi kwenye kampeni kwamba wameongeza mishahara? 😳😳
Salamu nyingi zikufikie kutoka kwa robertison wa Amsterdam [emoji3][emoji3]
Tunapanga namna ambavyo lissu atakuwa anagawa raslimali akishinda urahizi
Inasemekana kwa uoga wao wamewaongeza mishahara wanajeshi kimya kimya ; lakini hawajui kuwa hao wanajeshi ni sehemu ya jamii wanaoteseka mitaani!!
Kwani hilo ongezeko ni makato kutoka kwenye mshahara wa Magufuli?Kwanini wanafunzi wa elimu ya juu wasipige kura kwa Magufuli wakati bajeti ya mikopo imeongezeka!
Na wale waliotolewa kazini kisa vyeti feki1. Watumishi wa Umma, kwa sababu hawajapewa mishahara na posho zinazostahili kwa miaka zaidi ya 6 iliyopita ukiacha wale wachache wateule
2. Wanafunzi wa Vyuo vya elimu ya juu kwa mateso wanayopata kupewa mikopo ya kujisomesha
3. Wazazi wenye watoto maskini waliofaulu kwenda vyuo vya elimu ya juu wakashindwa kuendelea na masomo kwa kukosa mkopo au wzazi wakalazimika kuuza kila walichonacho ili mtoto aende chuo
4. Wananchi wa mikoa ,hasa iliyoko nyuma kimaendeleo wanaoshuhudia maendeleo yakipelekwa kwa wenzao Chatto, Geita, Mwanza, Simiyu, Shinyanga na maeneo yanayofanana na hayo kwa kukiachwa patupu au kwa kudanganywa kwa peremende, nitakupa pipi n.k (mkandarasi yuko saiti, nitaweka wakandarasi 6 waigawane hiyo barabara, umeme bure kwa sh. 27000/= tu..,tutamtua ndoo mama
ENDAPO WATAIPA CCM KURA!
Hii itadhihirisha kuwa kweli wako pembezoni/'?/012@#$%
Wamrongezwa ngapi panya book weweWafanyakazi wote wameongezewa mshahara labda wewe umeajiriwa Chadema kule hawaongezewi
Acha upuuzi wewe... Kaongeza lini wewe kilazaWafanyakazi wote wameongezewa mshahara labda wewe umeajiriwa Chadema kule hawaongezewi
Hiki kikundi kinatawala kimabavu, tulishakichoka tangu 1995 na kura za Mrema.Naunga mkono hoja. Ifikie wakati hiki kikundi kinachojiita ccm, kiwekwe kando ili kipate wasaa mzuri wa kujitafakari. Kwa sasa kimejichokea na kinaiendesha hii nchi kijanja janja tu kupitia porojo na propaganda zilizopitwa na wakati.
Haiwezekani kampeni za mwaka huu ziwategemee wasanii tu ili kuwavutia wasikilizaji. Mgombea wao hana jipya, kila siku stori zake ni zile zile! Elimu bure, sijui kuongeza ndege!!
Cha kufurahisha zaidi, tangu nianze kuzifuatilia hotuba zake, sikumbuki kama kuna siku aliwahi kuwaongelea watumishi wa umma na wale wahitimu wa vyuo anao wasotesha mtaani bila ajira kwa miaka yote hii mitano.
Aaah mke wangu Bia yetu umefika tena huku?Wafanyakazi wote wameongezewa mshahara labda wewe umeajiriwa Chadema kule hawaongezewi
CCM inatufanyia ukatili kila kona!Acha upuuzi wewe... Kaongeza lini wewe kilaza
Labda mmepandishiwa pasho ya buku Saba hapo LumumbaWafanyakazi wote wameongezewa mshahara labda wewe umeajiriwa Chadema kule hawaongezewi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukweliukweli mchungu.
Ule uchawi was kupumbaza watanzania mwaka huu haujafanyika, CCM inapigwa miti mchana kweupeeee.
Mwenge umetulostisha kwa miaka mingi, ila Sasa baaaaaaaaasi