MANILABHONA
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 462
- 350
1. Watumishi wa Umma, kwa sababu hawajapewa mishahara na posho zinazostahili kwa miaka zaidi ya 6 iliyopita ukiacha wale wachache wateule.
2. Wanafunzi wa Vyuo vya elimu ya juu kwa mateso wanayopata kupewa mikopo ya kujisomesha.
3. Wazazi wenye watoto maskini waliofaulu kwenda vyuo vya elimu ya juu wakashindwa kuendelea na masomo kwa kukosa mkopo au wzazi wakalazimika kuuza kila walichonacho ili mtoto aende chuo.
4. Wananchi wa mikoa ,hasa iliyoko nyuma kimaendeleo wanaoshuhudia maendeleo yakipelekwa kwa wenzao Chatto, Geita, Mwanza, Simiyu, Shinyanga na maeneo yanayofanana na hayo kwa kukiachwa patupu au kwa kudanganywa kwa peremende, nitakupa pipi n.k (mkandarasi yuko saiti, nitaweka wakandarasi 6 waigawane hiyo barabara, umeme bure kwa sh. 27000/= tu..,tutamtua ndoo mama.
ENDAPO WATAIPA CCM KURA!
Hii itadhihirisha kuwa kweli wako pembezoni/'?/012@#$%
2. Wanafunzi wa Vyuo vya elimu ya juu kwa mateso wanayopata kupewa mikopo ya kujisomesha.
3. Wazazi wenye watoto maskini waliofaulu kwenda vyuo vya elimu ya juu wakashindwa kuendelea na masomo kwa kukosa mkopo au wzazi wakalazimika kuuza kila walichonacho ili mtoto aende chuo.
4. Wananchi wa mikoa ,hasa iliyoko nyuma kimaendeleo wanaoshuhudia maendeleo yakipelekwa kwa wenzao Chatto, Geita, Mwanza, Simiyu, Shinyanga na maeneo yanayofanana na hayo kwa kukiachwa patupu au kwa kudanganywa kwa peremende, nitakupa pipi n.k (mkandarasi yuko saiti, nitaweka wakandarasi 6 waigawane hiyo barabara, umeme bure kwa sh. 27000/= tu..,tutamtua ndoo mama.
ENDAPO WATAIPA CCM KURA!
Hii itadhihirisha kuwa kweli wako pembezoni/'?/012@#$%