Nitoe kishika uchumba, then mahali the uchumba kisha ndoa, eti enhee!

Nitoe kishika uchumba, then mahali the uchumba kisha ndoa, eti enhee!

mathsjery

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2015
Posts
2,249
Reaction score
1,813
Wajuvi wa mambo inakuwaje kuwe na mlolongo wa aina hii.

Je ni sheria? Ama mila na desturi zinazoweza achwa.

Mantiki yangu:
Kuna umuhimu wa kupitia hatua zote hizo na si kupotezana muda labda mniambie why?

Natoa kishika uchumba cha nini au kina maana gani?

Natoa mahali ndo nitangaziwe uchumba ili iweje? Kwanini nisioe directly baada ya mahali?

Sasa kama ndo tutaanza uchumba baada ya kutangazwa na nimetoa mahali tayari, je kama nikigundua hafai vipi kuhusu mahali yangu narudishiwa?

Anyway embu mtoe elimu ambao hatujapitia hizi hatua tujue.
 
Huyu sio muoaji, tena ningekuwa ndio mchumba wako ningejiandaa kutafuta spare tire kabla mambo hayajageuka maana haukai kama muoaji. Mwanaume wa wapi wewe unalalamikia process ya mahari?
 
Weka hoja mezani
Huyu sio muoaji, tena ningekuwa ndio mchumba wako ningejiandaa kutafuta spare tire kabla mambo hayajageuka maana haukai kama muoaji. Mwanaume wa wapi wewe unalalamikia process ya mahari?
 
Back
Top Bottom