Mparee Halisi
Senior Member
- Jan 4, 2014
- 104
- 8
Habari Wana JF,Naombeni mnitoe hofu tafadhali,Mke wangu amepitiliza mda wake wa kujifungua na Makisio yake yalikua tar 28/05 ila mpaka sasa bado na hahisi maumivu yoyote licha tu ya mtoto kucheza ndan
Yupo Hospital almost 2 weeks sasa,Kashaambiwa kua Mtoto yupo tu vizur na hakuna shida yoyote,kinachosubiriwa ni Uchungu tu na zikipita 2 wks kama bado watafanya mikakati mingineHapa utapata speculations tu mkuu. Feasible solution ni physical examination ya daktari na kama hakuwa amepiga ultra sound kwa mda mrefu nyuma, ni vema kujua positioning ya mtoto. Wengine huwa wanajisokota na umbilical cord hivyo inawazuia kutoka normal
Thanks Bro,Tusaidiane kwenye MaombiNi kawaida mkuu,we sibiri siku yake ikifika atapata uchungu
Mbona kama vile mbal Bro maana makisio yalikua tar 28/05 na mtoto alishuka tangu jmos tar 7/05wiki ijayo haipiti atakuwa ashajifungua, kama njia iko vizuri na mtoto ameshageuka na kushuka.
Ni kawaida mkuu,we sibiri siku yake ikifika atapata uchungu
muda mwingne cc tnakosea kusema uligota lini kuona siku zako wale wanahesabu mie nilienda clinic wakanambia ntajifungua trh kumi na moja nkajifungua kumi na7..
nilikuwa natembea na card ya hosp!!
nenda akacheck na doc sometimes inavuta had wiki 2,doc ndo suluhisho,na usihofu
Ina maana Ultra Sound huwa zinadanganya sometimes!?.
back to topic kasema yupo hospital two weeks now.
Nawashukuru sana kwa michango Yenu,tusaidiane kwenye Maombi Tafadhal