Mparee Halisi
Senior Member
- Jan 4, 2014
- 104
- 8
Habari Wana JF,
Naombeni mnitoe hofu tafadhali, mke wangu amepitiliza mda wake wa kujifungua na makisio yake yalikua tar 28/05 ila mpaka sasa bado na hahisi maumivu yoyote licha tu ya mtoto kucheza ndani.
Mpaka sasa yupo hospitali na ameambiwa njia ziko vizuri na mtoto ameshashuka tayari.
Naombeni mnitoe hofu tafadhali, mke wangu amepitiliza mda wake wa kujifungua na makisio yake yalikua tar 28/05 ila mpaka sasa bado na hahisi maumivu yoyote licha tu ya mtoto kucheza ndani.
Mpaka sasa yupo hospitali na ameambiwa njia ziko vizuri na mtoto ameshashuka tayari.