Nitumie dawa gani kujitibu U.T.I

Nitumie dawa gani kujitibu U.T.I

kibenten

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2018
Posts
499
Reaction score
510
wiki ilopita niliumwa U.T.I,

Nikandikiwa dawa inaitwa AZUMA nimemaliza dozi juzi lakin bado sijapona,dhakari bado inauma wakat wa kujojoa,afu kinachonikera zaidi kuna vimaji maji vyuepe vinatoka, mwanzo viliisha lakini bada ya kumaliza dozi vimeanza tena.

nimekuja kwenu kuja kuomba kujuzwa ni dawa gani ya kuzuia hivi vimaji visiwe vinatoka,dawa za hospital sio muumini sana,nimeagiza dawa ya uti huko Kijijini, lkn utachukua wiki kadhaa kufika huku,ko naomba mwenye ujuzi wa dawa hata ya hospital anijuze,(Maji nakunywa sana hadi tumbo linajaa maji).
 
wiki ilopita niliumwa U.T.I,
Nikandikiwa dawa inaitwa AZUMA nimemaliza dozi juzi lakin bado sijapona,dhakari bado inauma wakat wa kujojoa,afu kinachonikera zaidi kuna vimaji maji vyuepe vinatoka, mwanzo viliisha lakini bada ya kumaliza dozi vimeanza tena.

nimekuja kwenu kuja kuomba kujuzwa ni dawa gani ya kuzuia hivi vimaji visiwe vinatoka,dawa za hospital sio muumini sana,nimeagiza dawa ya uti huko Kijijini, lkn utachukua wiki kadhaa kufika huku,ko naomba mwenye ujuzi wa dawa hata ya hospital anijuze,(Maji nakunywa sana hadi tumbo linajaa maji)

Nenda wakuandikie sindano dozi ya siku 5 Au wasiliana na Huyu anauza dawa za Kisuna, yuko Tandika Dar 0714 475 030. Ana dawa za UTI Sugu
 
Nenda wakuandikie sindano dozi ya siku 5 Au wasiliana na Huyu anauza dawa za Kisuna, yuko Tandika Dar 0714 475 030. Ana dawa za UTI Sugu
asante,ila yangu sio sugu maana ndo nimeugua kwa mala ya kwanza
 
wiki ilopita niliumwa U.T.I,
Nikandikiwa dawa inaitwa AZUMA nimemaliza dozi juzi lakin bado sijapona,dhakari bado inauma wakat wa kujojoa,afu kinachonikera zaidi kuna vimaji maji vyuepe vinatoka, mwanzo viliisha lakini bada ya kumaliza dozi vimeanza tena.

nimekuja kwenu kuja kuomba kujuzwa ni dawa gani ya kuzuia hivi vimaji visiwe vinatoka,dawa za hospital sio muumini sana,nimeagiza dawa ya uti huko Kijijini, lkn utachukua wiki kadhaa kufika huku,ko naomba mwenye ujuzi wa dawa hata ya hospital anijuze,(Maji nakunywa sana hadi tumbo linajaa maji)
Ampilox (spelling sina uakika nayo) hii dawa ina rangi ya purple china na juu kamfuniko ni keusi hii ndo kiboko ya UTI) iko pharmacy zote
 
Pole Sana mkuu[emoji26]
To be honest Sijawahi kuugua UTI tangu nmezaliwa mpk miaka yangu 40+ hii ya utu uzima huu.
(mama angu mzazi alishwai nambia hata uko utotoni nilipokua mchanga sijawai kuugua uti)

Kwaiyo mambo ya madawa yake KUITIBU hata Siyajui kabisa mimi, NAMSHKURU SANA MUNGU kuniepusha hili[emoji120].

Ila Ntakupa ushaur huu Ila nnaimani SIKU NYINGINE ITAKUSAIDIA pia usije kupata uko unakopita.,

Ni HIVI,
jitahidi Uwe unakunywa maji mengi kabla ya kusex, ili upate breki kadhaa za kukojoa katikati ya tendo.

Hii itakusaidia kuflush urethra yako kila vijidud vya uti vinapojipenyeza ndai ya uume wako.

Pia kumbuka kila baada breki ya tendo,
Uwe unasafisha vizur dudu yako na maji kisha ndo uloweke Tena.

Cha ziada,
Epuka kutembea na wanawake ambao hawajisafishi vizur na maji wanapokojoa.

(Wapo wanawake wanapenda kukojoa vichakani, wanatembea na tissue tu hawapendi kutumia maji wakikojoa hata wakiwa vyooni kabisa. WAEPUKE SANA)

Mikono ya wanawake Ni chanzo kikubwa Cha uti kwa wanaume, maana KIKAWAIDA Ni ngumu Sana kupata UTI chooni.
 
wiki ilopita niliumwa U.T.I,

Nikandikiwa dawa inaitwa AZUMA nimemaliza dozi juzi lakin bado sijapona,dhakari bado inauma wakat wa kujojoa,afu kinachonikera zaidi kuna vimaji maji vyuepe vinatoka, mwanzo viliisha lakini bada ya kumaliza dozi vimeanza tena.

nimekuja kwenu kuja kuomba kujuzwa ni dawa gani ya kuzuia hivi vimaji visiwe vinatoka,dawa za hospital sio muumini sana,nimeagiza dawa ya uti huko Kijijini, lkn utachukua wiki kadhaa kufika huku,ko naomba mwenye ujuzi wa dawa hata ya hospital anijuze,(Maji nakunywa sana hadi tumbo linajaa maji).
Mkuu pitia Uzi huu ,hakika hutajuta ,dawa hii inaondoa UTI for three days,nakama huna access na huu mmea nitakutumia ili uweze kuuotesha katika mazingira yako,achana na wakukuambia nitafute ,they have nothing,kwa miaka mitatu sasa toka nijue kuwa hii dawa inatibu UTI sijawahi kutumia dawa za wazungu.

Kazi kwako mkuu Jitibu U.T.I kwa mmea huu kwa matokeo yenye ufanisi zaidi
 
Tafuna vitunguu swaumu angalau punje nne kisha umeze na maji, asubuhi baada ya kupata kifungua kinywa na usiku baada ya kupata chakula cha usiku, mfululizo kwa siku 4 hadi 5 matokeo utakuwa umeyapata.

Ova
 
Pole Sana mkuu[emoji26]
To be honest Sijawahi kuugua UTI tangu nmezaliwa mpk miaka yangu 40+ hii ya utu uzima huu.
(mama angu mzazi alishwai nambia hata uko utotoni nilipokua mchanga sijawai kuugua uti)

Kwaiyo mambo ya madawa yake KUITIBU hata Siyajui kabisa mimi, NAMSHKURU SANA MUNGU kuniepusha hili[emoji120].

Ila Ntakupa ushaur huu Ila nnaimani SIKU NYINGINE ITAKUSAIDIA pia usije kupata uko unakopita.,

Ni HIVI,
jitahidi Uwe unakunywa maji mengi kabla ya kusex, ili upate breki kadhaa za kukojoa katikati ya tendo.

Hii itakusaidia kuflush urethra yako kila vijidud vya uti vinapojipenyeza ndai ya uume wako.

Pia kumbuka kila baada breki ya tendo,
Uwe unasafisha vizur dudu yako na maji kisha ndo uloweke Tena.

Cha ziada,
Epuka kutembea na wanawake ambao hawajisafishi vizur na maji wanapokojoa.

(Wapo wanawake wanapenda kukojoa vichakani, wanatembea na tissue tu hawapendi kutumia maji wakikojoa hata wakiwa vyooni kabisa. WAEPUKE SANA)

Mikono ya wanawake Ni chanzo kikubwa Cha uti kwa wanaume, maana KIKAWAIDA Ni ngumu Sana kupata UTI chooni.
shukurani sana mkuu,,nitafanya kama ulivyoshauri.
 
Back
Top Bottom