kibenten
JF-Expert Member
- Mar 12, 2018
- 499
- 510
wiki ilopita niliumwa U.T.I,
Nikandikiwa dawa inaitwa AZUMA nimemaliza dozi juzi lakin bado sijapona,dhakari bado inauma wakat wa kujojoa,afu kinachonikera zaidi kuna vimaji maji vyuepe vinatoka, mwanzo viliisha lakini bada ya kumaliza dozi vimeanza tena.
nimekuja kwenu kuja kuomba kujuzwa ni dawa gani ya kuzuia hivi vimaji visiwe vinatoka,dawa za hospital sio muumini sana,nimeagiza dawa ya uti huko Kijijini, lkn utachukua wiki kadhaa kufika huku,ko naomba mwenye ujuzi wa dawa hata ya hospital anijuze,(Maji nakunywa sana hadi tumbo linajaa maji).
Nikandikiwa dawa inaitwa AZUMA nimemaliza dozi juzi lakin bado sijapona,dhakari bado inauma wakat wa kujojoa,afu kinachonikera zaidi kuna vimaji maji vyuepe vinatoka, mwanzo viliisha lakini bada ya kumaliza dozi vimeanza tena.
nimekuja kwenu kuja kuomba kujuzwa ni dawa gani ya kuzuia hivi vimaji visiwe vinatoka,dawa za hospital sio muumini sana,nimeagiza dawa ya uti huko Kijijini, lkn utachukua wiki kadhaa kufika huku,ko naomba mwenye ujuzi wa dawa hata ya hospital anijuze,(Maji nakunywa sana hadi tumbo linajaa maji).