Nitumie mbinu gani ili nikimtongoza anikubalie?

Nitumie mbinu gani ili nikimtongoza anikubalie?

Joined
Aug 15, 2021
Posts
49
Reaction score
45
Habari Wana JF ,natumaini mnaendelea vema kabisa.

Naomba niende kweny uzi moja kwa moja, kuna binti flani nimetokea kumpenda sana na kwa uchunguzi wangu nimegundua ananifaa kulingana na maisha yangu, lakini kila nikitupia maneno anachomoa si unajua watu wa dini sana.

Naombeni ushauri wenu/mbinu Wana JF ili niweze kumpata binti huyu.

Natanguliza Shukrani zangu za dhati!!!

1629616596403.png
 
Habari Wana JF ,natumaini mnaendelea vema kabisa.
Naomba niende kweny uzi moja kwa moja ,kuna binti flani nimetokea kumpenda sana na kwa uchunguzi wangu nimegundua ananifaa kulingana na maisha yangu ,lkn kila nikitupia maneno anachomoa si unajua watu wa dini sana.
Naombeni ushauri wenu/mbinu Wana JF ili niweze kumpata binti huyu.
Natanguliza Shukrani zangu za dhati!!!
Usikate tamaa nenda tena
 
Back
Top Bottom