Nitumie mbinu gani kupunguza ukaribu na hawa michepuko?

Nitumie mbinu gani kupunguza ukaribu na hawa michepuko?

Habari wakuu,

Mjuavyo tena, mwanaume bila michepuko ni sawa na jogoo kuishi na mtetea mmoja, kitu ambacho hakiwezekani.

Nimebahatika kuwa na michepuko kadhaa, ambao ni pisi kali; na baadhi yao nimeweza kuzaa nao kutokana na wao kutaka iwe hivyo.

Kati ya hao, yupo mmoja tu ndio huwa ananiridhisha sana, kwa sababu anajituma na anajua jukumu lake la uumbaji.

Nikiwa naye, nina ridhika kwa asilimia mia mbili.

Kutokana na majukumu kuwa mengi, kwa sasa nataka nijikite kwake tu ili kupunguza gharama za hapa na pale.

Sasa najaribu kufikiria, hawa wengine wasioniridhisha, nitawaachaje achaje?

Kwa mazingira hayo, nitumie mbinu gani kupunguza ukaribu na hawa michepuko mingine?​
 
Habari wakuu,

Mjuavyo tena, mwanaume bila michepuko ni sawa na jogoo kuishi na mtetea mmoja, kitu ambacho hakiwezekani.

Nimebahatika kuwa na michepuko kadhaa, ambao ni pisi kali; na baadhi yao nimeweza kuzaa nao kutokana na wao kutaka iwe hivyo.

Kati ya hao, yupo mmoja tu ndio huwa ananiridhisha sana, kwa sababu anajituma na anajua jukumu lake la uumbaji.

Nikiwa naye, nina ridhika kwa asilimia mia mbili.

Kutokana na majukumu kuwa mengi, kwa sasa nataka nijikite kwake tu ili kupunguza gharama za hapa na pale.

Sasa najaribu kufikiria, hawa wengine wasioniridhisha, nitawaachaje achaje?

Kwa mazingira hayo, nitumie mbinu gani kupunguza ukaribu na hawa michepuko mingine?​
Acha ujinga endelea kuwala wote bila kuwapa chochote, watajipunguza wenyewe.
 
Wambie wife kashtukia mchezo, kuwalinda unakata mawasiliano kwanza, tena unasisitiza wapate mabwana wengine kabisa. Otherwise wakiingia kwenye ramani zake watapata tabu.
 
Wambie wife kashtukia mchezo, kuwalinda unakata mawasiliano kwanza, tena unasisitiza wapate mabwana wengine kabisa. Otherwise wakiingia kwenye ramani zake watapata tabu.
Na wale ambao nimezaa nao, naweza pia kuitumia hii mbinu na ikafanya kazi?
 
Habari wakuu,

Mjuavyo tena, mwanaume bila michepuko ni sawa na jogoo kuishi na mtetea mmoja, kitu ambacho hakiwezekani.

Nimebahatika kuwa na michepuko kadhaa, ambao ni pisi kali; na baadhi yao nimeweza kuzaa nao kutokana na wao kutaka iwe hivyo.

Kati ya hao, yupo mmoja tu ndio huwa ananiridhisha sana, kwa sababu anajituma na anajua jukumu lake la uumbaji.

Nikiwa naye, nina ridhika kwa asilimia mia mbili.

Kutokana na majukumu kuwa mengi, kwa sasa nataka nijikite kwake tu ili kupunguza gharama za hapa na pale.

Sasa najaribu kufikiria, hawa wengine wasioniridhisha, nitawaachaje achaje?

Kwa mazingira hayo, nitumie mbinu gani kupunguza ukaribu na hawa michepuko mingine?​
Kikao cha November mwaka jana tuliyazungumza haya tena maada hii ilikuwa na kichwa cha habari kinachosema
SINGLE MOTHER NI SINGLE MOTHER TU HATA KAMA UMEMZALISHA.Vijana hudhurieni vikao hasa vya mwisho wa mwaka.
 
Back
Top Bottom