Anza na block namba zao mbona simple tu😁😁
Pili, Jifanye unapitia kipindi Kisumu financial watajiengua wao wenyewe.... Yani akiomba kuanzia 10K baada ya muda Fulani unajibu Sina na siko vizuri kabisa then wakiwepo wa kushusha Mara niunge bando sijui Ninunulie japo kifurushi cha hata 2K piga kimyaaa... Hapo wataanza kujiengua wenyewe
Pili, Jifanye unapitia kipindi Kisumu financial watajiengua wao wenyewe.... Yani akiomba kuanzia 10K baada ya muda Fulani unajibu Sina na siko vizuri kabisa then wakiwepo wa kushusha Mara niunge bando sijui Ninunulie japo kifurushi cha hata 2K piga kimyaaa... Hapo wataanza kujiengua wenyewe