Nimemaliza yote au ina muendelezo?Ahahha haikuwa ivyo
Hapan imeisha kesho nafikir nitaweka nyingine nikumbusheNimemaliza yote au ina muendelezo?
Sawa sawa,vijana mnaita "tag" fanya hivyo ili muda wa kupumzika nipate kupitia na bibi yako hapaHapan imeisha kesho nafikir nitaweka nyingine nikumbushe
Sawa keshoSawa sawa,vijana mnaita "tag" fanya hivyo ili muda wa kupumzika nipate kupitia na bibi yako hapa
Bila kuwapa hela watakuona tร kataka tuu.Habari wakuu,
Mjuavyo tena, mwanaume bila michepuko ni sawa na jogoo kuishi na mtetea mmoja, kitu ambacho hakiwezekani.
Nimebahatika kuwa na michepuko kadhaa, ambao ni pisi kali; na baadhi yao nimeweza kuzaa nao kutokana na wao kutaka iwe hivyo.
Kati ya hao, yupo mmoja tu ndio huwa ananiridhisha sana, kwa sababu anajituma na anajua jukumu lake la uumbaji.
Nikiwa naye, nina ridhika kwa asilimia mia mbili.
Kutokana na majukumu kuwa mengi, kwa sasa nataka nijikite kwake tu ili kupunguza gharama za hapa na pale.
Sasa najaribu kufikiria, hawa wengine wasioniridhisha, nitawaachaje achaje?
Kwa mazingira hayo, nitumie mbinu gani kupunguza ukaribu na hawa michepuko mingine?
Siyo wa kucheka nao hao wala kuwaonea huruma we wamwage baki na huyo anae kukurukaHabari wakuu,
Mjuavyo tena, mwanaume bila michepuko ni sawa na jogoo kuishi na mtetea mmoja, kitu ambacho hakiwezekani.
Nimebahatika kuwa na michepuko kadhaa, ambao ni pisi kali; na baadhi yao nimeweza kuzaa nao kutokana na wao kutaka iwe hivyo.
Kati ya hao, yupo mmoja tu ndio huwa ananiridhisha sana, kwa sababu anajituma na anajua jukumu lake la uumbaji.
Nikiwa naye, nina ridhika kwa asilimia mia mbili.
Kutokana na majukumu kuwa mengi, kwa sasa nataka nijikite kwake tu ili kupunguza gharama za hapa na pale.
Sasa najaribu kufikiria, hawa wengine wasioniridhisha, nitawaachaje achaje?
Kwa mazingira hayo, nitumie mbinu gani kupunguza ukaribu na hawa michepuko mingine?
Nitaenda kukanyaga mafutampaka hapo ushaferi life
jiandae tu kulogwa hapo