Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Wanaume wanazidi kupungua kila iitwapo leo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapend ganda la ndizi mkuuKama anakusumbua naomba namba yake
Unapend ganda la ndizi mkuu
Unapend ganda la ndizi mkuu
Yap mkuuHiyo peramiho ya songea au
We mwambie aje ghetoMwezi mmoja uliopita nliachwa na ex wangu for none reson but wiki iliopita nliamua kumtafuta shost yake kupitia simu ili kumuuliza kisa na mkasa mpaka mimi kuachwa na rafiki yake akasema ajui chochote nkamwambia poa.
Ila baada ya pale yule binti amekuwa akiendelea kunitafuta ila kila napomuuliza kuhusu rafiki yake kwanza anasema urafiki wao auna muda mrefu pili yule rafiki yake ambae ni ex wangu kitabia wapo tofauti sana yule muda mwingi anachat yani simu inamuweka bize mno hata muda wa kupika hana halafu anaruka ruka yani kifupi ajatulia na mwisho ananiambia niachane nae dunia itakuja kumfunza.
Nashangaa kanizoea sana sometime nampotezea ila yeye ananitafuta tunachat sana na kuongea kwa muda mwingi hasa usiku kuanzia saa nne mpaka 6 au 7.
Sasa sijaelewa lengo hasa la huyu binti ni nini na kama kanielewa je nitumie mbinu gani kumuweka kwenye laini fasta maana mi nakuwa najistukia kumtongoza coz alikuwa shemeji yangu tena kwa marafiki zake wawili ukiachana na huyu ex wangu pia kuna rafiki yake mwingine nliwahi kumuacha kutokana na tabia zake kutokuwa nzuri.
By the way poleni kwa msiba endeleeni kuchukua tahadhali dhidi ya Corona.
Usimponze.We kweli bad luck. Yaani mwanamke anakutafuta mwenyewe halafu unauliza utumie mbinu gani?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] kwamba anataka ndizi iliyomenywa kabisaWewe unapenda ndizi yenyewe
Yap mkuu
Hapo ni wewe ulishindwa kujiongeza mkuu. Mimi mwenyewe nilishajichanganyaga hivyo hivyo nikapeleka demu gesti. Kufika pale nimeshalipa kila kitu demu kagoma kuingia ananiambia ananiheshimu, hakujua mi nna tabia hizo, alikua ananiona wa maana nk. Na bado mwisho nilimtafuna vizuri tuu.Usimponze.
Kuna huyo alinitumia mpaka video akinionyesha mapaja yake nikamwambia twende lunch, akaja, kunakuaga na maeneo buffet 10,000. Kutoka pale tunaelekea mjengoni, kutaka kumshona nikaambiwa "Ujue mi nilikua nakuheshimu?"
Kwahiyo bro kutafutwa usiku wala siyo kesi. Mleta uzi nitumie namba ya huyo binti pm.
ipo n hospitali ya rufaa Sasa karibu TenaPeramiho hospital ndo nimezaliwa hapo ilikuaga hospital ya masister sijui mpk leo bado hipo
Hahahahhaha, mkuu mbona majibu makali hivi
EeeehMwezi mmoja uliopita nliachwa na ex wangu for none reson but wiki iliopita nliamua kumtafuta shost yake kupitia simu ili kumuuliza kisa na mkasa mpaka mimi kuachwa na rafiki yake akasema ajui chochote nkamwambia poa.
Ila baada ya pale yule binti amekuwa akiendelea kunitafuta ila kila napomuuliza kuhusu rafiki yake kwanza anasema urafiki wao auna muda mrefu pili yule rafiki yake ambae ni ex wangu kitabia wapo tofauti sana yule muda mwingi anachat yani simu inamuweka bize mno hata muda wa kupika hana halafu anaruka ruka yani kifupi ajatulia na mwisho ananiambia niachane nae dunia itakuja kumfunza.
Nashangaa kanizoea sana sometime nampotezea ila yeye ananitafuta tunachat sana na kuongea kwa muda mwingi hasa usiku kuanzia saa nne mpaka 6 au 7.
Sasa sijaelewa lengo hasa la huyu binti ni nini na kama kanielewa je nitumie mbinu gani kumuweka kwenye laini fasta maana mi nakuwa najistukia kumtongoza coz alikuwa shemeji yangu tena kwa marafiki zake wawili ukiachana na huyu ex wangu pia kuna rafiki yake mwingine nliwahi kumuacha kutokana na tabia zake kutokuwa nzuri.
By the way poleni kwa msiba endeleeni kuchukua tahadhali dhidi ya Corona.
Kazi ipoipo n hospitali ya rufaa Sasa karibu Tena
Kuua sisimizi kwa nuclear
HahahaWe kiazi, unajadili mada gani??
Mm ndo nashangaa yaan demu kajionesha yy yupo yupo tu itakuwa ana kibamia labda ngoja tusubir mrejesho