Nitumie mbinu gani

Lengo la huyo bint ni wewe kufuatilia kwa makini maombelezo ya marehemu Magufuli
Nalog off
 
We mwambie aje gheto
 
We kweli bad luck. Yaani mwanamke anakutafuta mwenyewe halafu unauliza utumie mbinu gani?
Usimponze.

Kuna huyo alinitumia mpaka video akinionyesha mapaja yake nikamwambia twende lunch, akaja, kunakuaga na maeneo buffet 10,000. Kutoka pale tunaelekea mjengoni, kutaka kumshona nikaambiwa "Ujue mi nilikua nakuheshimu?"

Kwahiyo bro kutafutwa usiku wala siyo kesi. Mleta uzi nitumie namba ya huyo binti pm.
 
Hapo ni wewe ulishindwa kujiongeza mkuu. Mimi mwenyewe nilishajichanganyaga hivyo hivyo nikapeleka demu gesti. Kufika pale nimeshalipa kila kitu demu kagoma kuingia ananiambia ananiheshimu, hakujua mi nna tabia hizo, alikua ananiona wa maana nk. Na bado mwisho nilimtafuna vizuri tuu.
 
Eeeeh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…