dee joy
Member
- Nov 12, 2020
- 7
- 3
Habari zetu,
Mimi nina makovu miguuni na mikononi yaliyosababishwa na vipele vya allergy, nitumie nini yaweze kuisha sitaki kutumia mafuta makali.
Mimi ni mweupe wa kawaida.
Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app
Mimi nina makovu miguuni na mikononi yaliyosababishwa na vipele vya allergy, nitumie nini yaweze kuisha sitaki kutumia mafuta makali.
Mimi ni mweupe wa kawaida.
Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app