Nitumie njia gani kumuacha?


Mwambnie na wewe umeenda kwa mganga kakufanyia dawa, kama aking'ang'ania kuishi na wewe basi atakufa siku si nyingi...............utashangaa......... wanaume ni waoga we acha tu.....
 
Usipate tabu mama, huyo hajui alitendalo, anapapala! Chamsingi jiweke kimaombi zaidi, kuwa na imani atashindwa then ondoa mawazo hayo ya kurogwa!
 
mfungulie RB,kutishia kuua,adhabu yake ni mvua 30.
 
Unampenda sana unajikanyaga tuu, ingekuwa kweli humtaki ungechukua hatua fasta za kumuacha. Mimi nijuavyo watu wanaomba ushauri kumpata mtu na si kumuacha

Umeona eh? Mi nachojiuliza yupo tayari mwanae alelewe na baba wa kambo? Halafu, sidhani kama kuna njia nzuri ya kumwacha mwenzio. Lovelove Kaa chini, tulia na mzazi mwenzio yamalizeni matatizo yenu.

Ikishindikana tafuta mtu mzima mwenye busara upande wa huyo baba aongee nae kuhusu hali halisi uweze kuendelea na maisha yako.
 

We fungasha kila kilicho chako kisha uingie mitini (kama una uwezo wa kufanya hivyo) bila kumtaarifu.
 
<font size="4"><span style="font-family: century gothic">We fungasha kila kilicho chako kisha uingie mitini (kama una uwezo wa kufanya hivyo) bila kumtaarifu.</span></font>
<br />
<br />
duh! Ikibidi inabidi afanye hivyo.
 
Anajaribu kukutishia kinyago ulicho chonga mwenyewe huyo, mwambie ashindwe na alegee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…