Nitumie njia gani rahisi kupata Chumba cha Kupanga Dar

Nitumie njia gani rahisi kupata Chumba cha Kupanga Dar

Manjagata

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2012
Posts
13,942
Reaction score
15,371
Mwenye kujua njia rahisi anielekeze hapo.

Je, madalali wa Dar wanasomeka?

Maeneo ya Sinza, Mwenge karibu na Kanisa la RC au Magomeni karibu na Kanisa la RC
 
Njia zipo nyingi..

Wajanja huwa wanaoneshwa vyumba na madalali. Na wanapanga ila dalali hapati hata mia.

Mbinu wanayotumia ni hii

Kama wewe X unatafuta chumba inabidi usaidiwe na rafiki yako jina Y.

Unampa Y sifa za chumba unachotaka... Y ndie anazurula na madalali kutazama vyumba.. anakupigia picha ama video za kila chumba atakachoenda. Anajifanya vyote hajavipenda mbele ya dalali.

Baadae Y anakurudia X kukupa taarifa za vyumba vizuri vilipo. Hapo dalali hayupo.

Baadae unaenda wewe X mwenyewe peke yako kwenye nyumba uliyoipenda unamwona mwenye nyumba unapanga wewe bila dalali kuhusika.

Dalali hawezi kukugasi maana hakujui na hajawai kukuona yeye anamjua Y
 
Njia zipo nyingi..

Wajanja huwa wanaoneshwa vyumba na madalali. Na wanapanga ila dalali hapati hata mia.

Mbinu wanayotumia ni hii

Kama wewe X unatafuta chumba inabidi usaidiwe na rafiki yako jina Y.

Unampa Y sifa za chumba unachotaka... Y ndie anazurula na madalali kutazama vyumba.. anakupigia picha ama video za kila chumba atakachoenda. Anajifanya vyote hajavipenda mbele ya dalali.

Baadae Y anakurudia X kukupa taarifa za vyumba vizuri vilipo. Hapo dalali hayupo.

Baadae unaenda wewe X mwenyewe peke yako kwenye nyumba uliyoipenda unamwona mwenye nyumba unapanga wewe bila dalali kuhusika.

Dalali hawezi kukugasi maana hakujui na hajawai kukuona yeye anamjua Y
Shida wenyenyumba wengine hawatoi nyumba bila ya dalali waliempa kazi kuwepo
 
Back
Top Bottom