mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 7,938
- 17,729
Michakato ya kuingia shamba usafiri unaweza kupambana nazo(kama una fikiria kutuma watu, acha mara moja unaenda kuzika pesa mkuu)Mim ni mtu ninaehitaj biashara ya waz,yaan sio biashara ya uvumilivu,najua uvumiliv ni lazma lakin stak kuvumilia sana,nataka hela ambayo sio ya mizunguko,yaan mfano wa biashara hyo uwe kama,labda umepata tenda u supply nyanya kwenye kiwanda cha kutengeneza tomato,yaan we ni kukusanya nyanya na kupeleka unalipwa chako,yaan biashara za hvo yan,za direct
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app