Baba Vladmir
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 373
- 627
- Thread starter
-
- #401
Aisee pole sana,kutokujua.Kwa taarifa yako hapo ulipo ikitokea umejikata kwa bahati mbaya na kitu chenye ncha kali mahali popote katika mwili wako,chukua hayo majani mabichi yafinyange vizuri kiganjani mpaka yatoe maji.Hayo maji yake dondoshea kwenye hilo jeraha jipya.Jeraha litakauka kabisa.Yapo nyumbani kwangu yananisumbua huwa nayakata hapa naandika reply nipo sehem yalipo bado machanga ngoja yatoe mbegu niyafanyie
Umeongea point kubwa sana mkuu, sasa mbali na Ini kuna Figo Figo, pombe huchangia kufail kwa figo na Ini pia.Ini ini ini
Wanywaji wengi wa pombe hasa hizi kali tuna matatizo ya ini bila kujijua
Story yangu, mwaka juzi nilienda nchi fulan kufanya kazi na ile kazi nilazima upekuliwe ili wajue afya yako,
Ini likaonekana lina matatizo ya mwanzo ila sikua na dalili yoyote. Nilivyopewa dawa ndo kama nikawa nimestua kitu ivi nikaanza kuhisi ini likicheza bila maumivu(nilikua napata maumivu ya woga tu)
Dawa ni kuacha pombe na ini ni miongoni mwa viungo vya binadamu vinavyojitibu vyenyewe.
Ukiwa unakunywa pombe jua kuna kitu unakitafuta na usipokua makini utakipata tu
Nakubali 100%! Yani kama unaharisha huna haja ya kusumbuka na dawa za mzungu wakati upo karibu na majani ya mperaMajani ya mpera ni dawa ya tumbo la kuuma na kuharisha
Chemsha hadi maji kubadilika rangi kunywa lita moja kwa siku in a week
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimeisha toka uko mkuuKichaa hicho wahi milembe
we eleza mkuu nitajuaPole sana.Huu siyo ugonjwa sugu tena bali ni tatanishi maana kwenye kipimo hauonekani.Kuna mimea inaweza kukusaidia sana lakini changamoto ni Lugha ya pamoja( kiswahili).Naifahamu kwa lugha yangu ya Kisukuma.Kama unaweza kuelewa nijulishe.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Usimjibu mwenzako hivyo ukajiona labda wewe ni mzima,kumbuka kuna wagonjwa wapo vitandani miaka na miaka,Virema,Vichaa n.k,Siyo kwamba wamejitakia,wenda walikuwa na nguvu kama wewe,ni mitihani tu mwenyezi Mungu kawapa,ambayo hata wewe anaweza kukupaKichaa hicho wahi milembe
Mbona kuna sehemu tumeelezea dawa ya pumu vizuri tu,jaalibu kuangalia mwanzoni wa maadaDawa ya pumu mtoto wangu inamtesa Sana
Nasikia pia ni dawa ya majeraha ya aina zoteYapo nyumbani kwangu yananisumbua huwa nayakata hapa naandika reply nipo sehem yalipo bado machanga ngoja yatoe mbegu niyafanyie
Jalibu kutumia mafuta ya kuku wa kienyeji,yaani mchukue tetea ukishamchinja anika mafuta yake kwenye jua,yakijichuja weka ndani ya sikioMasikio kuwasha na kutoa usaha?
1. Chukua tembe moja ya kitunguu saumu uiponde kisha uchanganye na mafuta safi ya nazi kiasi cha kijiko kimoja cha chakula. Acha mchanganyiko huu ukae pamoja kwa dakika 30 kisha uchuje na kuhifadhi hayo mafuta kwenye kichupa kidogo. Toneza matone matatu ya hayo mafuta kwenye masikio kila siku kabla ya kwenda kulala mpaka mwasho uishe kabisa,Masikio kuwasha na kutoa usaha?
Mkuu mimi tatizo langu ni ngozi!Jambo ndugu watanzania wenzangu!
Kuna watu wameteseka muda mrefu sana na wanaendelea kuteseka na magonjwa mbalimbali mpaka leo bila suluhisho na imefikia wakati sasa wanaweza kukata tamaa juu ya maradhi hayo.
Ninaomba tushirikishane hapa hadharani ili tushauriane na kuelekezana nini cha kufanya kulingana na changamoto ya kila mmoja wetu.
Binafsi nina uzoefu wa tiba za mimea na mitishamba katika kutatua changamoto ya maradhi mbalimbali ambayo wakati mwingine yameshindwa kutibika kwa dawa za asili ya kizungu. kwa hiyo ninaweza kukupa A B C ukavuna ili utumie na ninaamini unaweza kupata muujiza wako na ukarudisha tumaini jipya la afya yako.Nina zaidi ya mimea tiba 500 mpaka sasa katika hifadhi yangu binafsi na ninaendelea kujifunza zaidi.Hii inaweza pia kupanua wigo wa watu wengine katika kufanya tafiti zao juu ya mimea na magonjwa.Hata kama kuna mwenye uelewa zaidi au mtaalam tuelekezane hapa aina ya mmea tiba na formula yake katika matumizi ya tiba.
Tafadhali sana mambo ya ramli sitahangaika nayo.Sema ugonjwa unaokusumbua nitakushauri aina ya mimea tiba unayopaswa kutumia kwa utaratibu maalumu ili upone.
Tafadhali mods usiunganishe uzi huu!
Karibuni sana.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Mkuu mimi tatizo langu ni ngozi!
Kama unavyofahamu saloon zetu hizi, na mimi mara kadhaa nimekuwa mtu wa safari!
Mwaka 2020, niliotwa vijipele vinavyotoa maji maji (mapunye) sijui nilivipatia wapi, lakini wengi wamehusianisha na saloon ambapo kumekuwa na matumizi ya mashine pasipo kuzifanyia usafi zaidi.
Nimejitahidi kuyatibu mapunye hayo kwa dawa tofauti tofauti, hadi kwa wataalamu wabobezi wa ngozi Hospital, lakini halo bado tete, natimiza mwaka wa tatu sasa bila mafanikio.
Naomba msaada wako!
Mapunye hayo yameota kichwaniNgozi mwili mzima,au eneo gani la mwili
Naomba tuwasiliane ili nikuelekeze vizuri hiyo dawa ya pumu kama utakuwa hujaelewa vizuri kwenye uzi nilioandika maana nayajua vizuri matatizo wanayopitia wenye pumuDawa ya pumu mtoto wangu inamtesa Sana
Mapunye hayo yameota kichwani
rushoto wanaita mbwembwe nimboga hizo