Niulize chochote juu ya tiba za Mitishamba

Niulize chochote juu ya tiba za Mitishamba

Ikitokea nimeng'atwa na nyoka nifanyeje kujitibu???

@BabavIadmir
 
Chaputa[emoji23][emoji23]
Hizo ni dalili za tatizo la mishipa ya damu,either imesinyaa ama vinginevyo,hivyo haina uwezo wa kusafirisha na kupitisha damu kwa ufanisi unaotakiwa.Lakini pia inaweza kuwa tatizo la mishipa ya damu ya kwenye moyo ( Cardial Vascular).Kwa hiyo damu haisafirishwi kwa kiwango kinachotakiwa na kwa wakati kuzifikia sehemu mbalimbali za mwili (Hakuna mchawi hapo).Lakini pia inaweza kuwa ni lehemu iliyozidi kiwango katika mishipa au damu na hivyo kusababisha damu kutosafiri kwa kiwango na wakati sahihi kuzifikia sehemu baadhi za mwili na matokeo yake ndiyo unaona baadhi ya sehemu zinapata ganzi,mwili kuchoka,maumivu ya kifua na mabegani na wakati mwingine kiuno.Matatizo haya hupelekea hata kushindwa kupata nguvu za kiume. Matatizo haya yote hupatiwa tiba kwa njia ya mitishamba asilia na yakaisha kabisa.Kama utahitaji msaada huo nakukaribisha sana.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Mwili unakosa nguvu na pia nahisi ganzi mikonon na miguuni

Je tiba yake ni ipi
Hizo ni dalili za tatizo la mishipa ya damu,either imesinyaa ama vinginevyo,hivyo haina uwezo wa kusafirisha na kupitisha damu kwa ufanisi unaotakiwa.Lakini pia inaweza kuwa tatizo la mishipa ya damu ya kwenye moyo ( Cardial Vascular).Kwa hiyo damu haisafirishwi kwa kiwango kinachotakiwa na kwa wakati kuzifikia sehemu mbalimbali za mwili (Hakuna mchawi hapo).Lakini pia inaweza kuwa ni lehemu iliyozidi kiwango katika mishipa au damu na hivyo kusababisha damu kutosafiri kwa kiwango na wakati sahihi kuzifikia sehemu baadhi za mwili na matokeo yake ndiyo unaona baadhi ya sehemu zinapata ganzi,mwili kuchoka,maumivu ya kifua na mabegani na wakati mwingine kiuno.Matatizo haya hupelekea hata kushindwa kupata nguvu za kiume. Matatizo haya yote hupatiwa tiba kwa njia ya mitishamba asilia na yakaisha kabisa.Kama utahitaji msaada huo nakukaribisha sana.



Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Tiba ya goiter

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Hayo ni matokeo ya ukuaji usio rasmi wa tezi ya thyroid iliyo maeneo ya shingo unaosababishwa na utolewaji wa kiwango kinachozidi kiasi cha homoni ya thyroid.Kwa hiyo unatakiwa kupata dawa ya mitishamba yoyote ambayo ina uwezo wa kuondoa vimbe mwilini itakutibu kwa ufanisi mkubwa mno.
Niliwahi kueleza hapa juu ya mti wa NSUHA kama unaweza kuupata fuata maelekezo yake ya uandaaji itakusaidia sana kuondoa tatizo hilo.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Naomba tusaidie et dawa ya PID
Tafuta majani ya tulatula vuna na kausha vizuri kivulini(vuna wakati wa mchana) baada ya kukausha saga vizuri iwe katika hali ya poda au unga laini.Unatumia kijiko 1×3kwa siku katika maji moto. Au chimba mizizi ya tulatula na mizizi ya papai dume changanya kwa pamoja na uchemshe.Tumia kikombe 1 cha chai ×3 kwa siku.
Ikiwa umetumia njia nyingi bila mafanikio pia,unaweza kunitafuta kwa usaidizi zaidi.PID inapona bila shida.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Nasumbuliwa na hili tatizo mwaka wa 3 Sasa nishachoma sindano kumeza hayo madonge, hospital nishaenda hadi naelekea kuwa muhudumu kwa nilivyozoeleka kwa kurudi mara kwa mara 😭 hii khali inanikosesha amani kiukweli .
 
Wakuu habari?
Naomba msaada wa dawa ya kinywa kutoa harufu kwa watoto mmoja ana miaka 6 mwingine 1½
Natanguliza shukran
 
Naomba kujua dawa ya fungus Sugu sehemu nyetii. Dawa zimetumika mda mrefu lakini zinapotea na kurudi
 
Hayo ni matokeo ya ukuaji usio rasmi wa tezi ya thyroid iliyo maeneo ya shingo unaosababishwa na utolewaji wa kiwango kinachozidi kiasi cha homoni ya thyroid.Kwa hiyo unatakiwa kupata dawa ya mitishamba yoyote ambayo ina uwezo wa kuondoa vimbe mwilini itakutibu kwa ufanisi mkubwa mno.
Niliwahi kueleza hapa juu ya mti wa NSUHA kama unaweza kuupata fuata maelekezo yake ya uandaaji itakusaidia sana kuondoa tatizo hilo.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Mkuu naomba uelezee zaidi kuhusu hii dawa ya NSUHA na vipi kuhusu ufanisi wake kwa goitre ambayo imeshakaa mda mrefu?
 
Back
Top Bottom