Niulize chochote kuhusiana na biashara, masoko na mauzo

Niulize chochote kuhusiana na biashara, masoko na mauzo

Habari wana JF,

Kichwa cha habari kinajielezea,

Huu ni uzi wa kipekee unaohusu maswala yote yahusuyo biashara, masoko na mauzo, kwa hiyo kama utakuwa una kitu chochote unahitaji kufahamu juu ya vitu nilivyotaja hapo juu usisite kuuliza maana mimi au mtu yeyote atakaye fahamu atakupa majibu yanayohitajika.

Karibuni sana[/QUONatafuta soko la kuuza kuku wa kisasa Dodoma pamoja Nguruwe.
 
Mkuu mimi nahitaji ushauri wa kipi nianzishe kwa Mkoa wa Kigoma. Nina mtaji wa laki mbili na nusu hivi. Nilikuwa na wazo la kuanzisha 1. Biashara ya mitumba je nitaipata wapi na faida inapatikanaje.
2. Kufungua duka la vipodozi ambalo linaanza na mtaji mdogo tu kama huo, je nikweli unapotaka kufungua duka hilo nilazima uende kusadili duka kwa mkemia anayehusia na mambo ya Afya.


kwa mtumba hapo utapata zaidi ya ronya..
kwa suala la vipodozi utapata rambo ya sh 200 imejaa vipodoz kwa hela. hyo..mayb utembeze...atleast kwa mtumba tafuta laki4 nenda dar au karume
 
biashara ya mitumba inasoko sana kigoma but kwa vijijini unakuja zako karume unachukua mitumba yako ya nguo moja buku ukifika huko unauza mpka elfu 4

bora afungue belo kuliko kudaka moja moj karume wezi sana watambambikia balaa..aitaishia kuuza nguo chache sana
 
Me nataka kuanzisha biashara ya kuuza electronics na vifaa vya computer na simu na vingine kama cables na nini nauliza ntapata wapi kwa bei ya jumla na bei poa nataka kufungua hyo biashara Dodoma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nataka kufanya kilimo cha njegere na maharage moshi naomba kuunganishwa na mtu yoyote ambaye unamfahamu anafanya icho kilimo ili nipatee abc kuhusu hicho kilimo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natafuta masoko nina gunia 10 ya hayo maharage, Nipo Laela-Sumbawanga,90s Km kutoka Tunduma.
Barabara ni lami.
Serious buyers nifate PM.
IMG_20190314_123233.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari ndugu, naomba unifahamishe kuhusu biashara ya ngombe hasa hawa....
pic+ngombe.jpg
je minada yake inapatikana wapi? na gharama ya minadani ikoje.na sokoni ukipeleka bei inasemaje. thanks
ukipada dili la.kupeleka comoro hao wanyama,utakula shavu sana boss
 
Back
Top Bottom