Niulize chochote kuhusiana na biashara, masoko na mauzo

 


kwa mtumba hapo utapata zaidi ya ronya..
kwa suala la vipodozi utapata rambo ya sh 200 imejaa vipodoz kwa hela. hyo..mayb utembeze...atleast kwa mtumba tafuta laki4 nenda dar au karume
 


๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‹haijui.mbeya mkuu...msamehe..
 
biashara ya mitumba inasoko sana kigoma but kwa vijijini unakuja zako karume unachukua mitumba yako ya nguo moja buku ukifika huko unauza mpka elfu 4

bora afungue belo kuliko kudaka moja moj karume wezi sana watambambikia balaa..aitaishia kuuza nguo chache sana
 
Me nataka kuanzisha biashara ya kuuza electronics na vifaa vya computer na simu na vingine kama cables na nini nauliza ntapata wapi kwa bei ya jumla na bei poa nataka kufungua hyo biashara Dodoma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nataka kufanya kilimo cha njegere na maharage moshi naomba kuunganishwa na mtu yoyote ambaye unamfahamu anafanya icho kilimo ili nipatee abc kuhusu hicho kilimo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari ndugu, naomba unifahamishe kuhusu biashara ya ngombe hasa hawa....
je minada yake inapatikana wapi? na gharama ya minadani ikoje.na sokoni ukipeleka bei inasemaje. thanks
ukipada dili la.kupeleka comoro hao wanyama,utakula shavu sana boss
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ