Chibule
Senior Member
- Sep 25, 2024
- 171
- 230
Mimi ni mtaalamu wa afya ya kinywa na meno napatikana Magomeni - Dar es Salaam na Kibaha -pwani
Kama una swali au changamoto yoyote kuhusu kinywa na meno niandikie hapa chini nitajitahidi kujibu kadri ya uwezo wangu.
Kama una swali au changamoto yoyote kuhusu kinywa na meno niandikie hapa chini nitajitahidi kujibu kadri ya uwezo wangu.
- Katika vituo hivyo vya kazi pia natoa huduma zifuatazo kwa gharama rafiki kabisa .
- Elimu ya kinywa na meno
- Kuziba meno yaliyotoboka
- Kusafisha meno na kung'arisha meno
- Kupanga meno (braces)
- Kuweka meno bandia (partial/full denture )
- Huduma ya mzizi wa jino (root canal treatment)
- Urembo wa meno
- Veneers, bleaching, crowns and bridges