James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
HahaaaaaKwanini kuna watu wana meno kama jembe lililokwisha na hayaumi
View attachment 3118113
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahaaaaaKwanini kuna watu wana meno kama jembe lililokwisha na hayaumi
View attachment 3118113
MkuuHii huduma ipo kwenye hospitali zetu za wilaya au mkoa..?
Ukiamka asubuhi kinywa kikatoa damu, tatizo laweza kuwa nini???Mimi ni mtaalamu wa afya ya kinywa na meno napatikana Magomeni - Dar es Salaam na Kibaha -pwani
Kama una swali au changamoto yoyote kuhusu kinywa na meno niandikie hapa chini nitajitahidi kujibu kadri ya uwezo wangu.
Kinywa chenye afya, mwili wenye furaha.
- Katika vituo hivyo vya kazi pia natoa huduma zifuatazo kwa gharama rafiki kabisa .
- Elimu ya kinywa na meno
- Kuziba meno yaliyotoboka
- Kusafisha meno na kung'arisha meno
- Kupanga meno (braces)
- Kuweka meno bandia (partial/full denture )
- Huduma ya mzizi wa jino (root canal treatment)
- Urembo wa meno
- Veneers, bleaching, crowns and bridges
View attachment 3117272
Kaka naomba msaada kaka hali yangu ni ngumu leo siku ya tatu silali jino linauma vibaya mnomimi ni docta wa menoo na fiziii....natumiaa mafi ya mbuzii na pundaa...matokeo yako vizuriii....ingineni kwenye pm