DIVISHENI FOO
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 1,440
- 3,142
Bei ngapii jamanii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huduma ya dental implants inapatikana German Dental Clinic along Toure Drive Masaki. Hela yake ndefuHapana hii huduma hatuna
Hiyo ni kwa jino moja au?Kuna ya tsh 100,000 ( Acyrilic)
Ceramics ( chuma ) tsh 350,000/=
.Zinconia tsh 400,000
Karibu sana , Unaweza tupigia hapa 0658 950 085
JuuAnhaaa okay upande upi ulitoa? Juu au chini
Hawa jamaa vipi huduma zao, nina tatizo la fizi nataka nikawaone?.Huduma ya dental implants inapatikana German Dental Clinic along Toure Drive Masaki. Hela yake ndefu
Hawa jamaa vipi huduma zao, nina tatizo la
Excellent. Kwa maelezo zaidi piga 0752257354Hawa jamaa vipi huduma zao, nina tatizo la fizi nataka nikawaone?.
Mkuu hivi kweli kuna dawa za meno ambazo mtu anaweza kuwa anatumia muda wa kupiga mswaki ambazo zina uwezo wa kuyafanya meno yang'ae na kuwa meupe?
Au ni mpaka kuyang'arisha tu
Dawa yoyote ya meno ni nzuri kuitumia ili mradi iwe na madini ya kutosha ya fluoride kuanzia 1450-1500ppm , pia matumizi kwa watu wazima inatakiwa angalau iwe kama punje ya harage.Mkuu hivi kweli kuna dawa za meno ambazo mtu anaweza kuwa anatumia muda wa kupiga mswaki ambazo zina uwezo wa kuyafanya meno yang'ae na kuwa meupe?
Au ni mpaka kuyang'arisha tu kwanza?
Iwe imethibitishwa na TBS, TDA ( Tanzania Dental Association) kwenye box lake iwe imeandikwa kiwango cha flolaidi 1450- 1500 ppm hivyo ni baadhi ya vitu vya kuangalia kabla hujanunua dawa kwa mangi au pharmacyVipi tutajuaje dawa hii ya Mswaki ina ubora??