Nauza mahitaji ya nyumbani,na bidhaa ninazouza sana ni sukari,ngano,mafuta ya kula,sabuni,Mchele,sembe,ni bihaa mhimu sana ambazo ukifungua duka tu lazima uuze mathlani sukari kg 50 nauza Kwa kuipima na naimaliza within a day,Pia nawarahisishia wateja wangu hata wa kipato Cha chini nawahudumia,mf.nauza mpaka sukari ya 300,500, vivyo hivyo katika mafuta,jambo hili limeniongezea wateja sana na kuongeza mauzoUnauza bidhaa gani mkuu nimetamani kujuaa