Nauza mahitaji ya nyumbani,na bidhaa ninazouza sana ni sukari,ngano,mafuta ya kula,sabuni,Mchele,sembe,ni bihaa mhimu sana ambazo ukifungua duka tu lazima uuze mathlani sukari kg 50 nauza Kwa kuipima na naimaliza within a day,Pia nawarahisishia wateja wangu hata wa kipato Cha chini nawahudumia,mf.nauza mpaka sukari ya 300,500, vivyo hivyo katika mafuta,jambo hili limeniongezea wateja sana na kuongeza mauzoUnauza bidhaa gani mkuu nimetamani kujuaa
Mwanzoni ulivyoanza ulikuwa unauzaje?Nauza mahitaji ya nyumbani,na bidhaa ninazouza sana ni sukari,ngano,mafuta ya kula,sabuni,Mchele,sembe,ni bihaa mhimu sana ambazo ukifungua duka tu lazima uuze mathlani sukari kg 50 nauza Kwa kuipima na naimaliza within a day,Pia nawarahisishia wateja wangu hata wa kipato Cha chini nawahudumia,mf.nauza mpaka sukari ya 300,500, vivyo hivyo katika mafuta,jambo hili limeniongezea wateja sana na kuongeza mauzo
Sijakuelewa unamaanisha mauzo au namna ya kuuza?Mwanzoni ulivyoanza ulikuwa unauzaje?
Namimi nimefungua na nimemuacha mke maana ni home kabsa,hivi hii 300/500 inalipa kweli?Sijakuelewa unamaanisha mauzo au namna ya kuuza?
Hili linanikumba mimi pia mtu anakuja kwa huruma ila kulipa ni shida inabidi abadili duka kukwepa deni , kukopea ni kufukuza wateja.Na Mimi napenda kufungua duka Ila changamoto Ni wamama hapa mtaani.
Nashindwa kabisa kuwanyima bidhaa wakija kukopa.
Yani ukimkopaa kesho unamuonaa yule anapitaa anaenda duka la jiranii[emoji23][emoji23][emoji23]Hili linanikumba mimi pia mtu anakuja kwa huruma ila kulipa ni shida inabidi abadili duka kukwepa deni , kukopea ni kufukuza wateja.
Daah unamtaji wa kiasi gani kwa mauzo hayo ya karibia milion 2 kwa siku?Mi ninaduka,ni ukweli duka la rejareja linalipa sana Tena sana Cha msingi ni location na usimamizi mzuri,mie 2018 nilianza duka Kwa 1.8mil.kwa Sasa 2023 Hali SI mbaya mauzo per week yanarange 10-15mil,
Mfano???Kazi kazi. Biashara hii Ina Siri kubwa. Inahitaji mbinu za kiintelejensia kupata Wateja
Hiyo sukari ya 300&500 unaipima vip?!Nauza mahitaji ya nyumbani,na bidhaa ninazouza sana ni sukari,ngano,mafuta ya kula,sabuni,Mchele,sembe,ni bihaa mhimu sana ambazo ukifungua duka tu lazima uuze mathlani sukari kg 50 nauza Kwa kuipima na naimaliza within a day,Pia nawarahisishia wateja wangu hata wa kipato Cha chini nawahudumia,mf.nauza mpaka sukari ya 300,500, vivyo hivyo katika mafuta,jambo hili limeniongezea wateja sana na kuongeza mauzo
Sukari ya sh 500 ni g 150 na Kuna zilizopekiwa tayari Kwa ujazo wa g 150 na unaweza kupima wewe mwenyewe Kwa ujazo huo ingawa siku hizi sukari ya ujazo huo tunauza sh 600. Ila hiyo sukari ya sh 300 hata mimi nahitaji uzoefu .Hiyo sukari ya 300&500 unaipima vip?!
SafiHakuna uchawi Wala ndumba nazingatia hzi mbinu
*nafungua mapema nachelewa kufunga
*sikopeshi hata kitu Cha Mia kukopesha nikumfukuza mteja
*kuwa msafi na kupanga vitu vizuri kuhakikisha duka linavutia
*usipende tongoza tongoza wake za watu na wasichana wa mtaani hapo utajitengenezea sifa mbaya
*kuwa na huduma nzuri kwa kila mtu
*hakikisha unakua na bidhaa ambazo zinakutambulisha kuwa dukani kwako pekee iyo bidhaa inapatikana
* tafuta machimbo ya Bei rahisi
Swali zuri.Kufungua duka na kumuajiri mtu auze, hapa hua mnapigiana vp hesabu? I mean kujua faida, vitu vilivyoisha na vinavyohitajika kuongezwa dukani. ..
Unaepuka vp huyu uliyemwajiri asikupige?
Kwa nini?Hii biashara hapana kwa kweli
Umenena vyema.Ukiajiri mtu kubali kuibiwa ila la muhimu hakikisha unapunguza kuibiwa.
Hakikisha Kila siku unakuwepo, unakuwa unajua bidhaa ipi imetoka ipi imepungua.
Usimpe access ya yeye kununua bidhaa ziliisha, hiyo ni kazi Yako.
Fanya ziara za mshtukizo mara Kwa mara.
JIPANGE KUKAA DUKANI MWENYEWE
Umeanza na mtaji kiasi gani ?Nimeanza hii biashara tarehe 30 mwezi wa 4 mwaka huu, ni biashara nzuri na inalipa ukiwa serious