NDABANINGI SITHOLE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 529
- 530
Natafuta mganga mkubwa kbs anaetokea ileje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MpozileeeeeeeeeeWandali wanasalimiaje
PanandiiiiiMwalamusha
Je kwa siku unaweza pata mademu wangapi hapo Ileje?Habarini wana JF.
Nakaribisha maswali maalumu kuhusu wilaya takatifu ya Ileje iliyopo mkoa mpya/ lango la SADC ,SONGWE
Karibu mpenzi.
UONGO. wandalai wana Lugha yao tofauti na Kinyakyusa. Hawana uhusiano wowote.Kiteputepu ni madaraja (sanasana ya KIMILA) yasiyo rasmi yanayotengenezwa na wenyeji wanaotumia njia zisizo rasmi .Mara Nyingi hutumika kuunganisha wenyeji Wa upande Wa MALAWI na ILEJE
Yalianzishwa enzi hizo kuboresha uhusiano baina ya Ila mengine yalianzishwa kwa ajili ya kupanua utawala(mfano.ILULU ya Ileje).
LAKINI kwa siku hizi yanatumika kusafirisha na kupitisha magendo na mengine yanatengenezwa kwa ajili ya kipato kwa wanaopita njia za shortcut , mengi yameharibiwa na kuvunjwa
Ila huwezi/huruhusiwi /usithubutu kuvunja kiteputepu hata kama wewe ni RAIS.
Kwa swali lako la pili nataka kukwambia kwamba neno WANDALI linamaanisha WALIOZUNGUKA au WATORO ..wandali ni wanyakyusa ambao walikimbia makwao na kwenda kutafuta maisha sehemu nyingine wakakimbilia MBEYA MJINI,MBOZI,WAKAJA ILEJE, bila kujuwa wanarudi tena kwao TUKUYU na hata sehemu za jirani na kwao..
Ndiyo... Napenda kumfahamu japo kwa uchache....Alikuwa Mbunge wa Ileje.
Napenda kufaham kuhusu?Habarini wana JF.
Nakaribisha maswali maalumu kuhusu wilaya takatifu ya Ileje iliyopo mkoa mpya/ lango la SADC ,SONGWE
Karibu mpenzi.
Who is Ileje? Mtakatifu ni wilayaaaaa au ni Mr Ileje? Ni wa Kanisa gani?Habarini wana JF.
Nakaribisha maswali maalumu kuhusu wilaya takatifu ya Ileje iliyopo mkoa mpya/ lango la SADC ,SONGWE
Karibu mpenzi.