jafarikyaka
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 378
- 269
- Thread starter
- #21
Ileje kuna makabila mawili makubwa WALAMBYA na WandaliWandali wanasalimiaje
Wandali wanasalimiana MWALAMSHA? Wakujibu atajibu PANANDI kama hamkuonana kwa siku Hiyo.
Ila WALAMBYA hisalimiana MWAGHOONAA?
Ila kwa sasa huwezi kujuwa kipi kilambya na kipi ni kindali kwa sababu wandali wengi wameoa/ olewa na walambya hivyo wamepoteza lugha yao ya asili.