Niulize chochote kuhusu injini za magari madogo na pickup zinazotumia Petroli

Mkuu nakupongeza kwa darasa hili. Nami napenda kuuliza Natakiwa nitumie aina gani ya oil kwenye turbo charged engine?
 
Shukrani mkuu.
Nitayazingatia haya.
Vipi kwenye mfumo wa mafuta hasa usukumaji, hujawahi kutana na changamot?
 
Gari yangu imekufa injection ivo race iko juu na inakula mafuta kweli kweli nauliza kuhusu replacement ni 3rz je c.i ya 2rz inaweza tumika kama mbadala
 
Shukrani mkuu.
Nitayazingatia haya.
Vipi kwenye mfumo wa mafuta hasa usukumaji, hujawahi kutana na changamot?
Nilikutana nayo, gari ilikuwa inaishiwa nguvu kwenye miinuko na overtaking ikawa changamoto. Ukikanyaga accelerator, inachukua sekunde 4-5 kujibu. Baada ya kuweka fuel pump mpya, tatizo likaondoka. Ni kama mwezi mmoja uliopita.
 
Dah! Nimeweka hii kwenye Starlet unanishauri nini mkuu
 
Nilikutana nayo, gari ilikuwa inaishiwa nguvu kwenye miinuko na overtaking ikawa changamoto. Ukikanyaga accelerator, inachukua sekunde 4-5 kujibu. Baada ya kuweka fuel pump mpya, tatizo likaondoka. Ni kama mwezi mmoja uliopita.
Hata mimi hii ya kuchelewa kuchanganya inanipata na hata ukitaka ku overtake inabidi ujipange hasa.

Pump ulipata kwa bei gani na wapi mkuu.
 
Hata mimi hii ya kuchelewa kuchanganya inanipata na hata ukitaka ku overtake inabidi ujipange hasa.

Pump ulipata kwa bei gani na wapi mkuu.
Maeneo ya Tabata Baracuda kwa laki na nusu.
 
Aisee nikisoma huu uzi unazidi kunitisha kununua gari wacha niendelee kupeleka hela zangu kwenye kujenga nyumba za kupangisha na frame za kupangisha nikitulia nanua gari jipya ikianza kusumbua nauza then nanua nyingine.
 
Hiyo siyo injini ya gari ndogo bali ni ya katapila.
Mkuu, kwanza nikushukuru wewe na wadau wote kwa elimu hii. Nimekuwa kwenye mgogoro wa engine ya ESCUDO G16 ni oil gani inafaa. Hii ni baada ya kununua engine nyingine (used) baada ya ile ya kwanza kushindikana. Fundi anashauri nitumie SAE 40 lakini nikambishia baada ya kupitia uzi huu. Ndiyo kwanza tumeipandisha kwenye gari na hatujabadili oil. Gari haina 'manual'. Nahitaji ushauri wako/wenu tafadhali, maana ni mgeni kwenye hii tasnia.
 
Mkuuu ni engine oil gan inafaa kwa vitz ya 1sz .na nitatizo gani litatokea ikiwa oli imezidi (engine oil)coz nikipima asubuh naona oil imepitiliza kwenye level ya stick
 
Hv wakuu kuna namna ya kuondoa ule mlio wa feni inapozunguka yaani kama mvumo? Naona gari zingine huskii mvumo wa feni lakini gari yangu inavuma feni kiasi inasikika hata umbali wa mita 100.
 
Tumia mojawapo ya hizi: SAE30, 5W-30,10W-30

Hizo SAE40 hadi SAE50 ndizo zinazowaulia injini mapema na kusababisha wengine wafanye overahaul kwa sababu ni nzito sana na zinasababisha piston rings kusagika haraka sana.
 
Tumia mojawapo ya hizi: SAE30, 5W-30,10W-30

Hizo SAE40 hadi SAE50 ndizo zinazowaulia injini mapema na kusababisha wengine wafanye overahaul kwa sababu ni nzito sana na zinasababisha piston rings kusagika haraka sana.
Mkuu, Ubarikiwe sana kwa ufafanuzi wako. Nimefanikiwa kupata aina mojawapo kama inavyoonekana kwenye picha hapa chini
Asante sana.
 

Attachments

  • IMG_20191028_121346.jpg
    172.4 KB · Views: 23
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…