Jaribu 10W30 badala yake.Nimezunguka DSM.
Nimewaambia nahitaji 5W30 wamesema hawana.
Na nimeongeza search kwenye petrol station za Total kutafuta mbadala ila nako nimekosa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa siwaamini.Jaribu 10W30 badala yake.
Vile vile nimeona tangazo hilo huko mitaani linaloonyesha kuwa zinapatikana
View attachment 1289380
Castrol 5w30 hawana za litre 5 wanzo za litre 1 na zinaitwa castrol edge na mm ninaziuza labda wewe ulitaka ya litre 5 moja hizo hawanaNimezunguka DSM.
Nimewaambia nahitaji 5W30 wamesema hawana.
Na nimeongeza search kwenye petrol station za Total kutafuta mbadala ila nako nimekosa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wananchi hawawezi kukuelewa,wao wameshazoea kuweka SAE 40.Kwangu Mimi kama muuzaji oil zinazotengenezwa na wauza mafuta mfano oryx, total, gp, na puma kwa maana ya castrol ndio oil bora ambazo zinafuata viwango vya kimataifa na wengi tutambue kwamba makampuni hayo makao makuu yake hayako hapa Tanzania hivyo chemical zake nyingi zinakua designed nje ya nchi na hapa wanakuja kuchanganya na kutoa kitu ambacho kimethibitishwa kama muuzaji wa oil ningependa watu watumie oil za makampuni hayo makubwa na kuachana na hizi oil ambazo zimejaa mtaani zijulikanazo kama za kupima ambazo ubora wake ni hafifu sana japokuwa zinatoka nje ya nchi
Maduka mengi wanataka faida hawataki uaminifu ndio maana huwezi kumkuta mtu kaweka 5w30 kwa sababu ni ghali na faida yake kidogoWananchi hawawezi kukuelewa,wao wameshazoea kuweka SAE 40.
Na kupata 5w-30 mtaani huku si mchezo,mpk maduka fulani fulani tu ingawa mimi ni mtumiaji wa 5w-30.
Sent using Jamii Forums mobile app
Castrol 5w30 hawana za litre 5 wanzo za litre 1 na zinaitwa castrol edge na mm ninaziuza labda wewe ulitaka ya litre 5 moja hizo hawana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu.Jaribu 10W30 badala yake.
Vile vile nimeona tangazo hilo huko mitaani linaloonyesha kuwa zinapatikana
View attachment 1289380
Oil nzuri sana hasa wale wenye magari ya ulaya wanastahili kutumia oil hii au castrol, magari kama BMW,Benz range vw etcMkuu.
Kuna oil za Liqui Moly zinasambaa hapa mjini.
Ushawahi zitumia kwa uzoefu wako?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa boss mm sijawah kuzipata kwa hawa madealer wao ahsante kwa msaada huo nitazitafuta kwa ajili ya kuweka ofsnMmh kaka mbona ndio huwa tunaitumia na tunanunua Puma kabisa si hii[emoji116] View attachment 1290111
Natumia Castrol Edge 5W-40 kama manual ya gari inavyosemaOil nzuri sana hasa wale wenye magari ya ulaya wanastahili kutumia oil hii au castrol, magari kama BMW,Benz range vw etc
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni taa ya namna gani; mara nyingi taa zinazowaka na kuzmika huwa ni za oil pressure sensor. Je unapata taa ya namna hii?Guys gari yangu passo 3pistons, kuna taa inawaka mda flani then inapotea, ishatokea mara mbili. Taa ya check engine then OD ina flush ila mda flan ukizima gari ukawasha inapotea, juzi nligundua ikiwaka gia namba 2 iningia kwa kushtuka ila ilitokea maramoja tu. Nn shida wajuvi wa mambo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kula sana mafuta kunasababibishwa na vitu vingi sana; inabidi uweke dalili nyingine, kwa mfano inakula sana mafuta lakini haina nguvu, au inakula sana mafuta na inaleta harufu ya mafuta a kwenye cabin, au inakula sana mafuta na inatoa moshi mweusiGari inakula sana mafuta tatizo nini?Ni Suzuki escudo cc 1590 goldwin
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaelekewa kwenye matatizo makubwa sana. Hebu kwanza angalia una mafuta (ATF) ya kutosha kwenye transmission, baada ya hapo angalia kama transmission filter ina hali nzuri. Kama kuna mafuta ya kutosha na filter ina hali nzuri basi transmission yako iko njiani kwenda makaburiniKuna mazda Demio auto mara nyingine inagoma kubadili gear, mfano kutoka P kwenda D inakataa kabisaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Gari nguvu inayo,moshi mweusi haitoi isipokuwa nimeona Kuna taa nyekundu ya engine hii inaashiria nini,?Tatizo langu la gari kula mafuta limeanza ghafla.Kula sana mafuta kunasababibishwa na vitu vingi sana; inabidi uweke dalili nyingine, kwa mfano inakula sana mafuta lakini haina nguvu, au inakula sana mafuta na inaleta harufu ya mafuta a kwenye cabin, au inakula sana mafuta na inatoa moshi mweusi
Ndiyo zipo certification tatu za magari ya Umeme na Hybrid. Lakini huwezi kuzirukia moja kwa moja kwa kuwa hivo ni Advanced Level. Ni lazima uwe na certification ya magari ya kawaida ya mafuta kwanza ndipo upate certification ya magari ya umeme, kwa hiyo unakuwa na certification mbili kwa mpigo.Kichuguu hivi siku hizi kwenye certification ya ASE wanaajumuisha na electric cars?