Fuel pump haisababishi matatizo unayosema; inaonekana kama vile injini haiunguzi mafuta vizuri, kwa hiyo ama haipati hewa ya kutosha au fuel pressure regulator haifanyi kazi sawasawa. Iwapo fuel pressure regulator imeshalegea, basi haiweki pressure ya kutosha kwenye injector na kufanya injectors zishindwe kuatomize mafuta ila zinadondosha matone ya kwenye cylinder mafuta na kusababisha yaungue kwa fujo. Lakini vile vile angalia sensor zako hasa ya aif flow sensor.
Niliwahi kupost huko nyuma kuhusu mafuta hayo ya kusafishia injectors, nasikia yanapatikana kwenye vituo vingi vya mafuta kama Total.
View attachment 1240323
Kuhusu AC, je inachelewa kupooza au inachelewa kustart?