Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipo namna. Ukiweka bajeti yako inakuambia itafikia watu kiasi kadhaa hadikadhaa. Inakupa range. Unatafita wastani kama idadi ya watu utakaofikia.Nikilipia tangazo linawafikia watu wangapi?
Au hakuna namna ya kujua hili?
Kama hapo unaona unatumia dola tano kwa siku instagram kwa siku kumi. Idadi utakayofikia ni hiyo.Nikilipia tangazo linawafikia watu wangapi?
Au hakuna namna ya kujua hili?
Sina hakika ina nadhani hawaruhusu.So mkuu unauwezo ukatangaza website ya betting Facebook??
Malipo yanakuwaje. ?ukiwa Dar unalipia wapi?Kama hapo unaona unatumia dola tano kwa siku instagram kwa siku kumi. Idadi utakayofikia ni hiyo.
View attachment 2928455
Ili kutangaza inatakiwa ufungue facebook account kisha facebook page. Humo watakuambia weka njia ya malipo. Ndiyo unaweka detail za kadi yako. Wao watakuwa wanakata automatically kwenye kadi yako au wewe mwenyewe ukiamua kulipa manually.Malipo yanakuwaje. ?ukiwa Dar unalipia wapi?