Niulize chochote kuhusu matangazo ya kulipia Facebook na Instagram

So mkuu unauwezo ukatangaza website ya betting Facebook??
 
Nikilipia tangazo linawafikia watu wangapi?
Au hakuna namna ya kujua hili?
Ipo namna. Ukiweka bajeti yako inakuambia itafikia watu kiasi kadhaa hadikadhaa. Inakupa range. Unatafita wastani kama idadi ya watu utakaofikia.
 
Malipo yanakuwaje. ?ukiwa Dar unalipia wapi?
Ili kutangaza inatakiwa ufungue facebook account kisha facebook page. Humo watakuambia weka njia ya malipo. Ndiyo unaweka detail za kadi yako. Wao watakuwa wanakata automatically kwenye kadi yako au wewe mwenyewe ukiamua kulipa manually.

Ili kutangaza insta badili account ya insta kuwa professional halafu i link na facebook page yako. Njia ya malipo ya facebook ndiyo utatumia huko instagram.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…