shibumi
Senior Member
- Dec 14, 2016
- 125
- 205
MNA Huduma mbovu sana..simu zenu muda wote hazipokelewi..mkitumiwa msg online hamjibu..mnaboa sana wazeee..kuna siku mlikua mnasumbua nimeeka mkeka Wa buku 10 mkeka haukuw paid na fedha yangu ikachukuliwa..tokea siku hiyo nikaachana na nyie nikaona matapeli