Hili tumeshajibu, lkn kwa faida yako, Malkia kwenye kundi ni mmoja tu, na dume hufa akimaliza mating ni kwa sababu ya exhaustion!Kwenye mzinga wa nyuki kunakuwa na malkia wa ngp?
Na kwann nyuki dume akifanya mapenzi anakufa?
Lakini malkia anaishi?
Kitaalamu Asali ya Nyuki wakubwa hatupimi in terms of volume, tunapima in terms of weight. So you better start using kilograms and grams instead of litres. The main reason is the Viscosity of honey imeshapita kupimwa kwa volume.Kwann nyuki watengeneza asali, ndoo chakula chao au?
Kwa mahitaji ya asali ya nyuki wa kubwa kutoka tabora
1lita 12000
Nusu lita 6000
Robo lita3000
Lita 5 55000
Napatikana bugurun sheli
Call 0746 696878
Lita 5 unaletewa mpk ulipo
Doh! Bas bint yangu alidungwa na nyuki huduma ya kwanza kuna mtu akasema nimpake kitunguu..hicho kisindano hata sijui kilipoelekea leo ni siku ya tatu yuko sawa palivimba kidogo tuKwanza kama amedungwa na nyuki mmoja, toa kale ka sindano, kisha kupunguza maumivu unaweza kutumia barafu, na kupunguza kuvimba unaweza kutumia anti-inflamatories
Juzi kati limening'ata pajani, kumbe alikufa boraNi kweli, maana ile mshale wake (sting apparatus) imeungana na utumbo, so mkuki ukiingia kwenye mwili wako hauwezi kutoka bali yeye anafumuka nyuma utumbo unakatika. Atakufa tu. So please dont get stung by bees, utatumalizia nyuki wetu.
Hiyo asali kwao inawasaidia nini?Nyuki anakwenda kuchukua maji matamu ya maua (nectar) tunaita mbochi kwa kiswahili, anarudi kwenye sega (comb) ana regurgitate yale maji pamoja na ingredients zingine kutoka kwenye mwili wake. Hapo bado inakuwa haijawa Asali, kwa sababu ina maji mengi sana yaani nyepesi, so wakishajaza vyumba vyote hiyo nectar, wanapiga mbawa zao kwa wingi wao wana create upepo mkubwa ndani ya mzinga kiasi kwamba maji yana evaporate na kuifanya ile necta kuwa nzito zaidi, wanaendelea mpaka wakijiridhisha ipo tayari (yaani maji yawe less than 21 %) kwenye Asali ndio wanaifunga na kuihifadhi ambapo sisi tunaenda kuwa rob.
Mkuu nikuulize, Kijijini kwetu, nyumba ya bibi yangu dirishani kwake kuna nyuki kibao, toka anazaliwa kawakuta hadi leo, kwanini hawami, miaka yote hiyo?Kwa kawaida nyuki wanapokuwa wanaishi mahali say kwenye pango au mzinga, wanazaliana, wanapokuwa wengi na nyumba kuanza kuonekana ndogo wanajigawa, lkn kabla ya kujigawa wanatengeneza Malkia mpya, then nusu wanaondoka, hiyo tunaita Swarming, ndio utakuta wametua kwenye baraza yako au kwenye mti. Then wachache wanatoka (wanaitwa scout bees) kwenda kutafuta nyumba. Sasa akija akakuta mzinga upo free anarudi kuwaeleza wenzake kuwa kuna nyumba mahali, then wote wanaingia. That's how it works
Hujaweka sukari guru humu? Eeh?Kwann nyuki watengeneza asali, ndoo chakula chao au?
Kwa mahitaji ya asali ya nyuki wa kubwa kutoka tabora
1lita 12000
Nusu lita 6000
Robo lita3000
Lita 5 55000
Napatikana bugurun sheli
Call 0746 696878
Lita 5 unaletewa mpk ulipo
Mkuu, upo pande gani? Natafuta asali ya kununua kwa matumizi ya kawaida/ya kula yenye ubora. Unaweza nisaidia location zinapopatikana...hawa wafanyabiashara hawaamiki, wanaweza sometimes kuchakachua...Asali ikitunzwa vizuri inakaa hata miaka 10 na bado inaweza kuliwa japo ubora kama harufu itapungua. For this reason, ndio maana tunasema honey does not expire. Ukiwa unapack asali never write expiry date, badala yake weka BEST BEFORE, three years after harvest. Baada ya miaka mitatu Asali inaanza kupunguza ubora hasa inapotunzwa vibaya
Havamii maswali inachosha swali limejibiwa halafu linaulizwa tena anza kusoma uzi toka mwanzoAcha tabia ya kuvamia maswali!
Ni kweli dume baada ya kumpanda malkia anakufa?Ni nyuki jike au kibarua (worker) ndiye hatokani na fertilization. (Parthenogenesis).
Kwenye mzinga kunakuwa na aina 3 za nyuki. Malkia mmoja tu kundi zima, madume machache tu say in tens or hundreds na workers ndio wengi. Kwenye kundi la say 100k bees, madume yanaweza kuwa 2000 na workers 98k. Malkia anataga mayai yote kwenye mzinga, madume hayana kazi zaidi ya kumpanda malkia tena anafanikiwa mmoja tu, kazi zingine zote zinafanywa na workers, kuanzia kutafta chakula, kulisha watoto, kusafisha mzinga, kumlinda malkia, kutengeneza Asali na kulinda mzinga.
Exactly...Kupaliwa ni tatizo sio kwa asali tu, hata wali unaweza kukuua ukipaliwa nao.
Hili la tango na Asali hata mimi nimekuwa nikilisikia since I was a little boy, lkn hakuna aliyethibitisha. No one wants to try it and prove![emoji23][emoji23]