Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna hiyo nadharia kuwa bee venom ni dawa, lkn utafiti unahitajika hapa.Mtaalamu Mimi nauliza kama kuna ukweli kwamba kung'atwa na nyuki ni dawa ya mishipa,pia kwanini wengine waking'atwa huvimba wengine hawavimbi,je malkia ana paa au hubebwa kama nadharia nyingi zinavyosemwa
Alafu mtu kama Kiranga anadai hakuna Mungu!!!
Hivi hao nyuki akili ya kufanya fanning process sielewi wanapewa na nani, Mwenyezi Mungu au Nature?
Umetaka uulizwe, sasa muulizaji nianze kupekua [emoji848][emoji848][emoji848]Hili tumeshaeleza hapo juu
Nyuki wanatengeneza Asali popote. Suala la makazi ya watu ni suala la usalama tu na kuepuka contamination hasa km kuna kilimo cha kutumia dawaUkifuga nyuki karibu na makaazi ya watu, au kwenye makaazi ya watu, haitawezekana kwa nyuki kutengeneza asali hata kama kuna maji na maua ya kutosha?
Hivi nyuki asali huwa anaitoa wapi?
Acha tabia ya kuvamia maswali!Muwe mnasoma mbona mtaalamu kaeleza nyuki wanaenda kuchota maji mtoni halafu wanakimbia haraka nyumbani kwao kutakausha watu wengine mnavichwa vigumu kweli kuelewa
Kwa mfano, nyuki wameweka makazi katika nyumba; ukiwafukuza (kwa njia yoyote ile) watatoka na kupotea kabisa. Lakini baada ya miezi kadhaa kupita, utashangaa wamerudi tena eneo hilo hilo.Nyuki wanatengeneza Asali popote. Suala la makazi ya watu ni suala la usalama tu na kuepuka contamination hasa km kuna kilimo cha kutumia dawa
Katika maswali yote wewe ndio umeuliza swali lenye akili zaidiJe, mfumo wa Kukojoa na Kunya wa Nyuki ni sawa na wa Viumbe Hai ( Wadudu ) wengine?
Nilishaisikia hii dhana pia.Kuna uvumi ushawahi kuwepo kwamba asali ukiitumia mda mrefu inafanya mifupa iwe milaini, ni kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app