Niulize chochote kuhusu samaki wa urembo nikujibu (angalia picha)

Niulize chochote kuhusu samaki wa urembo nikujibu (angalia picha)

dealkubwa

Senior Member
Joined
Jul 1, 2020
Posts
144
Reaction score
587
Niulize chochote kuhusu samaki wa mapambo au urembo mawasiliano 0712505049

IMG_20230225_182635_153.jpg
 
Wanaliwa?
Hapana hawaliw kwa maana hamna aliejaribu kula sababu wanauzwa bei mbaya sanaa lengo kuu ni urembo ila ukiamua kula unakula kuna siki nilikia ziwa Tanganyika na mzungu mmoja katika pita pita tukamkuta jamaa anakula ugali na samaki wa urembo aina ya frontosa ni deal sanaa ulaya samaki kumi milion moja mzungu lianza kulia kwanini jamaa anakula hela nying hivyoo
 
Hapana hawaliw kwa maana hamna aliejaribu kula sababu wanauzwa bei mbaya sanaa lengo kuu ni urembo ila ukiamua kula unakula kuna siki nilikia ziwa Tanganyika na mzungu mmoja katika pita pita tukamkuta jamaa anakula ugali na samaki wa urembo aina ya frontosa ni deal sanaa ulaya samaki kumi milion moja mzungu lianza kulia kwanini jamaa anakula hela nying hivyoo
Aisee
 
Mimi nafuga Sato ila nataka pia nipate wa mapambo maana nimejikuta nawapenda je chakula chao wanaweza ku share kile kile? na nisaidie bei ya Aquarium Standard size 30 liters
 
Back
Top Bottom