Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣Mbona unajibu wewe jamanNdio mkuu...😎
Ulioa lini?Mimi mteja niko Dar nipigie uniuzie
Watoto wangu wanaoenda sana hayo mambo
Namba nakuwekea PM
AhahahahaUlioa lini?
😳🙄Kumbe ulikuwa unanichezea tu!Ahahahaha
Mwaka juzi
🤣🤣🤣🤜 Hapo sawaAhahahaha
Hapana
Nawew nitakuoa
Halafu nipe namba ya kukutumia za matumizi.🤣🤣🤣🤜 Hapo sawa
Sawasawa mkuu....wewe ndo jembe sasaHalafu nipe namba ya kukutumia za matumizi.
Sitaki upate shida kabisa
Chai tamu kweli kweliHapana hawaliw kwa maana hamna aliejaribu kula sababu wanauzwa bei mbaya sanaa lengo kuu ni urembo ila ukiamua kula unakula kuna siki nilikia ziwa Tanganyika na mzungu mmoja katika pita pita tukamkuta jamaa anakula ugali na samaki wa urembo aina ya frontosa ni deal sanaa ulaya samaki kumi milion moja mzungu lianza kulia kwanini jamaa anakula hela nying hivyoo
Kwasababu mleta mada alieleza wazi kwamba ni samaki wa urembo, then jamaa akauliza kama wanaliwa wakati tayari ilisha elezwa kwamba ni waurembo.🤣🤣Mbona unajibu wewe jaman
Ha ha haaKwasababu mleta mada alieleza wazi kwamba ni samaki wa urembo, then jamaa akauliza kama wanakiwa wakati tayari ilisha elezwa kwamba ni waurembo.
Basi nikaona niamue ugomvi tu😂🤣
Ndio wakawa wengi kiasi icho??Yaah ni kweli kuna mtu aliwaweka sehem kwa Makusud au alipata mafuriko wakasombwa na maji kisha kuingia kwenye mitaro