Niulize chochote kuhusu samaki wa urembo nikujibu (angalia picha)

Niulize chochote kuhusu samaki wa urembo nikujibu (angalia picha)

Hawa tumevua sana hapo victoria hapo kabla hawajatengeneza izo barabara za sasa
Yaah ni kweli kuna mtu aliwaweka sehem kwa Makusud au alipata mafuriko wakasombwa na maji kisha kuingia kwenye mitaro
 
Mimi mteja niko Dar nipigie uniuzie
Watoto wangu wanapenda sana hayo mambo
Namba nakuwekea PM
 
Hapana hawaliw kwa maana hamna aliejaribu kula sababu wanauzwa bei mbaya sanaa lengo kuu ni urembo ila ukiamua kula unakula kuna siki nilikia ziwa Tanganyika na mzungu mmoja katika pita pita tukamkuta jamaa anakula ugali na samaki wa urembo aina ya frontosa ni deal sanaa ulaya samaki kumi milion moja mzungu lianza kulia kwanini jamaa anakula hela nying hivyoo
Chai tamu kweli kweli
 
Kwasababu mleta mada alieleza wazi kwamba ni samaki wa urembo, then jamaa akauliza kama wanakiwa wakati tayari ilisha elezwa kwamba ni waurembo.
Basi nikaona niamue ugomvi tu😂🤣
Ha ha haa
 
Back
Top Bottom