Dr Count Capone
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 1,878
- 3,263
USHAURI
Boss weka picha kali, nyingi zinazovutia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
USHAURI
Nakazia.USHAURI
Boss weka picha kali, nyingi zinazovutia
Hapana hawaliw kwa maana hamna aliejaribu kula sababu wanauzwa bei mbaya sanaa lengo kuu ni urembo ila ukiamua kula unakula kuna siki nilikia ziwa Tanganyika na mzungu mmoja katika pita pita tukamkuta jamaa anakula ugali na samaki wa urembo aina ya frontosa ni deal sanaa ulaya samaki kumi milion moja mzungu lianza kulia kwanini jamaa anakula hela nying hivyoo
Oscar wanapatikana na kwa bei gani nahitaji pair iwe na mweusi na mweupe
Hawa pair ni bei gani wanaweza kaa na samaki wengine siwakorofiNi samaki wanaotengenezwa maabara kama kuku wa kizungu ila wapo natural walioumbwa na mungu ziwa Tanganyika au victoria.
View attachment 2530901
Upo wapiKila samaki ana bei yake tofaut nilionao mimi bei ni nafuu elfu tano wawili kuwatunza ni rahis 0712505049
Na aquarium ya kuwafugia ni bei gani mkuu.Kila samaki ana bei yake tofaut nilionao mimi bei ni nafuu elfu tano wawili kuwatunza ni rahis 0712505049
Mbona unatoa siri wewe?.Mambo hadharani.Kumbe ulishang`atwa na jamaa[emoji15][emoji849]Kumbe ulikuwa unanichezea tu!
😂😂😂😂nani huyo?Mbona unatoa siri wewe?.Mambo hadharani.Kumbe ulishang`atwa na jamaa
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Yaah ni kweli kuna mtu aliwaweka sehem kwa Makusud au alipata mafuriko wakasombwa na maji kisha kuingia kwenye mitaro
Upo mkoa gani boss
Hapana hawaliw kwa maana hamna aliejaribu kula sababu wanauzwa bei mbaya sanaa lengo kuu ni urembo ila ukiamua kula unakula kuna siki nilikia ziwa Tanganyika na mzungu mmoja katika pita pita tukamkuta jamaa anakula ugali na samaki wa urembo aina ya frontosa ni deal sanaa ulaya samaki kumi milion moja mzungu lianza kulia kwanini jamaa anakula hela nying hivy