Niulize chochote kuhusu Somalia na wasomali

kuna ile style mnacheza kwa kuchezesha shingo tuh ni somali nafikiri

je unaifahamu
style ya kuchezesha shingo si ya wasomali pekee yake, beja pia wasudani wana mchezo huo, wakurya pia watanzania wanachezesha inategemea tu wanachezeshaje.
Wasomali wamastyle tofauti tofauti lakin maarufu n ile ya kuchezesha mwili hasa miguu
 
1-Hivi,mbona wengi nikikutana nao njiani kule Kismayu huwa wamevimba shavu mojamoja?Huwa wanapigana migumi ya mashavuni?
2-Sababu kuu ya mapigano nchini mwao na kuwa na waasi/militia wengi wanajilipua kwa vilipuzi ni nini?
wasomali wanamatatizo mengi kama utapiamlo,njaa,magonjwa pia
Ni tofauti na wasomali matajiri ambao wamehamia nchi kama tz uganda na zinginezo kufanya biashara.

Lakini pia kwa wasomali wengi hasa wana wake wana asili ya mashavu
 
Vipi maisha hapo Mogadishu kwa maana gharama ya nyumba kupanga au chumba, chakula kipi kinapendwa sana je mademu Wana tabia gani
Maisha yapo kawaida sana! na vitu si ghali sana kama nairobi.
Wanawake wa kisomali wengi n washika dini hivo kuwapata malaya siyo sana wengi wanarubunika sana kwene kuolewa.

Ingawa malaya wapo wanaofanya biashara chini chini ukiwa na connection unapewa tu
 
wasomali wanamatatizo mengi kama utapiamlo,njaa,magonjwa pia
Ni tofauti na wasomali matajiri ambao wamehamia nchi kama tz uganda na zinginezo kufanya biashara.

Lakini pia kwa wasomali wengi hasa wana wake wana asili ya mashavu
Naona kama swali la pili umeliacha.
NB;..."wana asili ya mashavu"..(?)Watu wembamba wawe na asili ya mashavu manene(unene related?).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…