Niulize chochote kuhusu Wilaya ya Sikonge Tabora

Niulize chochote kuhusu Wilaya ya Sikonge Tabora

Wilaya ya Sikonge ipo kusini ya Mkoa wa Tabora, wilaya hii inapakana na Wilaya ya Uyui kaskazini na upande wa mashariki inapatikana na mkoa wa Singida.

Kusini inapakana na mkoa wa Mbeya kusini magharibi inapatikana na mkoa wa katavi na upande wa magharibi inapatikana na wilaya ya Urambo.

Wenyeji wa wilaya hii ni wanyamwezi huku shughuli zao zikiwa ni kilimo ufugaji na uwindaji.

Mazao yao makuu yakiwa ni Mahindi, Maharagwe, Karanga, Mhogo na Mpunga
Huku zao kubwa la biashara likiwa ni Tumbaku.

Wilaya hii inajishughulisha pia katika ufugaji wa nyuki na inasemekana kuwa asali ya Tabora ndiyo asali iliyobora kuliko maeneo mengine yote katika nchi yetu.
Karibu tutuo ,mji wa Waha
 
Malazi zipo hotel 2 na guests za kutosha kwa upande wa chakula wanyamwezi chakula chao kikuu ni ugali mzunguko wa umeanza kuwa mzuri baada ya barabara ya kuelekea mkoa wa Katavi kupitika kwa misimu yot
Vipi Maisha kwa ujumla?

Ikiwemo Malazi, Chakula, mzunguko wa Pesa, Biashara, Ardhi nk
 
Nasikia warabu koko ni wengi sana huko.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Basi siendi tena huko, kama kuna waarab wengi kihivyo basi tunategemea misukule iko mingi sana kwenye majumba ya watu. Sielewi kuna sayansi gani kati ya waarab na misukule. Sikonge, samahani siji kwenu kuwatembelea hata iweje.
 
Wilaya ya Sikonge ipo kusini ya Mkoa wa Tabora, wilaya hii inapakana na Wilaya ya Uyui kaskazini na upande wa mashariki inapatikana na mkoa wa Singida.

Kusini inapakana na mkoa wa Mbeya kusini magharibi inapatikana na mkoa wa katavi na upande wa magharibi inapatikana na wilaya ya Urambo.

Wenyeji wa wilaya hii ni wanyamwezi huku shughuli zao zikiwa ni kilimo ufugaji na uwindaji.

Mazao yao makuu yakiwa ni Mahindi, Maharagwe, Karanga, Mhogo na Mpunga
Huku zao kubwa la biashara likiwa ni Tumbaku.

Wilaya hii inajishughulisha pia katika ufugaji wa nyuki na inasemekana kuwa asali ya Tabora ndiyo asali iliyobora kuliko maeneo mengine yote katika nchi yetu.
Asali nyingi lkn ubora wake unaharibiwa na tumbaku
 
Wakaazi wake ni masikini wa kutupwa
Mikoa wanayokaa wasukuma na wanyamwezi karibia maeneo yote bado ni maskini sana. Inatakiwa Rais mwingine ajaye kuanzia 2025-2035 awe type ya JPM ndiyo waweze kutoka. Ndiyo maana mimi kwa sasa hivi "ninayempigia debe" kwa Mungu ni Majaliwa. 2025 tukienda na Majaliwa anaweza kuwatoa hapo walipo wakatoka milele, na pia watanzania wengine walioko kwenye maeneo mengine popote pale ambayo bado yako kwenye hali ya umaskini unaofanana na huo!
 
Wilaya ya Sikonge ipo kusini ya Mkoa wa Tabora, wilaya hii inapakana na Wilaya ya Uyui kaskazini na upande wa mashariki inapatikana na mkoa wa Singida.

Kusini inapakana na mkoa wa Mbeya kusini magharibi inapatikana na mkoa wa katavi na upande wa magharibi inapatikana na wilaya ya Urambo.

Wenyeji wa wilaya hii ni wanyamwezi huku shughuli zao zikiwa ni kilimo ufugaji na uwindaji.

Mazao yao makuu yakiwa ni Mahindi, Maharagwe, Karanga, Mhogo na Mpunga
Huku zao kubwa la biashara likiwa ni Tumbaku.

Wilaya hii inajishughulisha pia katika ufugaji wa nyuki na inasemekana kuwa asali ya Tabora ndiyo asali iliyobora kuliko maeneo mengine yote katika nchi yetu.
Kule Migumbu kona nne, nikiweka biashara inalipa?
 
Wilaya ya Sikonge ipo kusini ya Mkoa wa Tabora, wilaya hii inapakana na Wilaya ya Uyui kaskazini na upande wa mashariki inapatikana na mkoa wa Singida.

Kusini inapakana na mkoa wa Mbeya kusini magharibi inapatikana na mkoa wa katavi na upande wa magharibi inapatikana na wilaya ya Urambo.

Wenyeji wa wilaya hii ni wanyamwezi huku shughuli zao zikiwa ni kilimo ufugaji na uwindaji.

Mazao yao makuu yakiwa ni Mahindi, Maharagwe, Karanga, Mhogo na Mpunga
Huku zao kubwa la biashara likiwa ni Tumbaku.

Wilaya hii inajishughulisha pia katika ufugaji wa nyuki na inasemekana kuwa asali ya Tabora ndiyo asali iliyobora kuliko maeneo mengine yote katika nchi yetu.
Wachawi siku hizi bado wapo wengi kama miaka ya 2015?
 
Back
Top Bottom