Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 8,013
- 14,263
Diwani wenu mchaga.Nyie nomaMkuu,
Karibu kwetu USUNGA One
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Diwani wenu mchaga.Nyie nomaMkuu,
Karibu kwetu USUNGA One
Karibu tutuo ,mji wa WahaWilaya ya Sikonge ipo kusini ya Mkoa wa Tabora, wilaya hii inapakana na Wilaya ya Uyui kaskazini na upande wa mashariki inapatikana na mkoa wa Singida.
Kusini inapakana na mkoa wa Mbeya kusini magharibi inapatikana na mkoa wa katavi na upande wa magharibi inapatikana na wilaya ya Urambo.
Wenyeji wa wilaya hii ni wanyamwezi huku shughuli zao zikiwa ni kilimo ufugaji na uwindaji.
Mazao yao makuu yakiwa ni Mahindi, Maharagwe, Karanga, Mhogo na Mpunga
Huku zao kubwa la biashara likiwa ni Tumbaku.
Wilaya hii inajishughulisha pia katika ufugaji wa nyuki na inasemekana kuwa asali ya Tabora ndiyo asali iliyobora kuliko maeneo mengine yote katika nchi yetu.
Vipi Maisha kwa ujumla?
Ikiwemo Malazi, Chakula, mzunguko wa Pesa, Biashara, Ardhi nk
[emoji23][emoji23][emoji23]Vipi hali ya upatikanaji wa viburudisho mbalimbali
[emoji23][emoji23]Vp Kuna mademu wa bure?
Basi siendi tena huko, kama kuna waarab wengi kihivyo basi tunategemea misukule iko mingi sana kwenye majumba ya watu. Sielewi kuna sayansi gani kati ya waarab na misukule. Sikonge, samahani siji kwenu kuwatembelea hata iweje.Nasikia warabu koko ni wengi sana huko.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Asali nyingi lkn ubora wake unaharibiwa na tumbakuWilaya ya Sikonge ipo kusini ya Mkoa wa Tabora, wilaya hii inapakana na Wilaya ya Uyui kaskazini na upande wa mashariki inapatikana na mkoa wa Singida.
Kusini inapakana na mkoa wa Mbeya kusini magharibi inapatikana na mkoa wa katavi na upande wa magharibi inapatikana na wilaya ya Urambo.
Wenyeji wa wilaya hii ni wanyamwezi huku shughuli zao zikiwa ni kilimo ufugaji na uwindaji.
Mazao yao makuu yakiwa ni Mahindi, Maharagwe, Karanga, Mhogo na Mpunga
Huku zao kubwa la biashara likiwa ni Tumbaku.
Wilaya hii inajishughulisha pia katika ufugaji wa nyuki na inasemekana kuwa asali ya Tabora ndiyo asali iliyobora kuliko maeneo mengine yote katika nchi yetu.
Mikoa wanayokaa wasukuma na wanyamwezi karibia maeneo yote bado ni maskini sana. Inatakiwa Rais mwingine ajaye kuanzia 2025-2035 awe type ya JPM ndiyo waweze kutoka. Ndiyo maana mimi kwa sasa hivi "ninayempigia debe" kwa Mungu ni Majaliwa. 2025 tukienda na Majaliwa anaweza kuwatoa hapo walipo wakatoka milele, na pia watanzania wengine walioko kwenye maeneo mengine popote pale ambayo bado yako kwenye hali ya umaskini unaofanana na huo!Wakaazi wake ni masikini wa kutupwa
Wilaya ina watu watano, ila nasikia mmoja anaweza akahamia makao makuu Dodoma. Kwa hiyo ikitokea hivyo watabaki wanneWilaya ina watu wangapi sasa??
Ss tunawaita koboko ndio nyoka anaeogopeka mkoa mzimaAina gani ya nyoka anasumbua huko Sikonge?
Kule Migumbu kona nne, nikiweka biashara inalipa?Wilaya ya Sikonge ipo kusini ya Mkoa wa Tabora, wilaya hii inapakana na Wilaya ya Uyui kaskazini na upande wa mashariki inapatikana na mkoa wa Singida.
Kusini inapakana na mkoa wa Mbeya kusini magharibi inapatikana na mkoa wa katavi na upande wa magharibi inapatikana na wilaya ya Urambo.
Wenyeji wa wilaya hii ni wanyamwezi huku shughuli zao zikiwa ni kilimo ufugaji na uwindaji.
Mazao yao makuu yakiwa ni Mahindi, Maharagwe, Karanga, Mhogo na Mpunga
Huku zao kubwa la biashara likiwa ni Tumbaku.
Wilaya hii inajishughulisha pia katika ufugaji wa nyuki na inasemekana kuwa asali ya Tabora ndiyo asali iliyobora kuliko maeneo mengine yote katika nchi yetu.
Wachawi siku hizi bado wapo wengi kama miaka ya 2015?Wilaya ya Sikonge ipo kusini ya Mkoa wa Tabora, wilaya hii inapakana na Wilaya ya Uyui kaskazini na upande wa mashariki inapatikana na mkoa wa Singida.
Kusini inapakana na mkoa wa Mbeya kusini magharibi inapatikana na mkoa wa katavi na upande wa magharibi inapatikana na wilaya ya Urambo.
Wenyeji wa wilaya hii ni wanyamwezi huku shughuli zao zikiwa ni kilimo ufugaji na uwindaji.
Mazao yao makuu yakiwa ni Mahindi, Maharagwe, Karanga, Mhogo na Mpunga
Huku zao kubwa la biashara likiwa ni Tumbaku.
Wilaya hii inajishughulisha pia katika ufugaji wa nyuki na inasemekana kuwa asali ya Tabora ndiyo asali iliyobora kuliko maeneo mengine yote katika nchi yetu.
Mie nakaa mtaa wa Gama, kama unaenda mwakitakoMkuu,
Karibu kwetu USUNGA One