Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanyamwezi pia wamegawanyika katika makabila madogomadogo kwa mfano Wakonongo, wapimbwe nk,Wenyeji wa wilaya hii ni wanyamwezi huku shughuli zao zikiwa ni kilimo ufugaji na uwindaji.
Hii ni wilaya kubwa pengine kubwa kuliko zote Tanzania kwa ukubwa wa takribani 27,873 kilometre za mraba, ni wilaya iliyosahaulika kabisa kimaendeleo tangu miaka ya Uhuru, wananchi wake wengi wao wanaishi katika dimbwi la umaskini mkubwa, Wilaya hii ilikuwa inajulikana kama Wilaya ya Tabora vijijini hadi miaka ya 2000 ndipo ikapewa hadhi ya kuwa wilaya kamili.Wilaya ya Sikonge ipo kusini ya Mkoa wa Tabora,
Koboko!! chezea mke wa mtu basi lazima ukutane naye ana kwa ana.Aina gani ya nyoka anasumbua huko Sikonge?
ha ha ha''Dada ukitaka kuolewa ukapata mwanaume wa kinyamwezi andika maumivu.Wanaume wa kinyamwezi wana tabia ya uswali sana kwa sababu ya waarabu.Mwanaume wa kinyamwezi akishakuoa anaweza kuondoka nyumbani akakutelekeza na watoto hata miaka3 amekuachia mzigo kwa ufupi wa hovyo sana''...................................alikikika mlevi mmoja anaongea kwenye kilabu cha pombe za kienyeji
Tabora hasa wilaya ya Sikonge hamna Punda, kule kuna mikokoteni inayosukumwa na Ngombe maksai inayoitwa "Kwama"Mnatumia punda kama njia ya usafiri??
Sensa ya mwaka 2012, ilikuwa na idadi ya wakazi 179,883Wilaya ina watu wangapi sasa??
Wilaya ya Sikonge kwa muda mrefu haikuwa na barabara ya kukatisha kuingia na kutoka kwenye mikoa mingine - kifupi Wilaya ilikuwa kama kisiwa hivi. Kwa sasa ndiyo kuna barabara inajengwa toka Tabora mjini kupitia Sikonge hadi Katavi.Vipi Maisha kwa ujumla?
Ikiwemo Malazi, Chakula, mzunguko wa Pesa, Biashara, Ardhi nk
haya mambo yanapungua sababu ya civilization inaongezeka miongoni mwa familia na koo - pia muingiiano mpya wa vijana toka mikoa mingine umesaidia.Vip kuhusu kuloga/urozi na limbwata
ha ha ha, mji wa tabora ni mji msafi na uliopangika ..... ni ka Toronto kamoja hivi amazing - ni kweli kaka... karibu.Niliwahi sikia huko tabora mnapaita Toronto eti ni kweli ?
huko sasa ndiyo kulikuwa na kambi za wachawi... ni kweli tarafa hizo zote zipo duni mno kimaendeleo. .. mitaa ya kambi katoto eeeniliwahi kuishi inyonga mashariki.....huko majojoro, rungwa, mwamagembe mpaka mitundu ..
haahaha huko nmepiga misele ile njia unakutana na wanyama wa kutosha aisee.....nitaambatanisha picha nikipata muda..huko sasa ndiyo kulikuwa na kambi za wachawi... ni kweli tarafa hizo zote zipo duni mno kimaendeleo. .. mitaa ya kambi katoto eee
Wanyamwezi ki asili ni watu waoga mno kufanya biashara zozote za magendo, hata hicho kilimo cha Ngada hawawezi kuthubutu, ila kama wewe unajiamini unaweza kwenda kulima - kuna mapori ya kufa mtu hata mapolisi misitu kufika huko ni mtihani.kuna kitu vijana wa siku hizi wanaita pisi kali,je hivi vitu huko wanalima?
ha ha haIwensato Gust house