MBUTA2001
Member
- Mar 26, 2021
- 19
- 19
Nyuki usafiri 2km kufuata polenNyuki husafiri umbali gani kutafuta polen⁉️⁉️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyuki usafiri 2km kufuata polenNyuki husafiri umbali gani kutafuta polen⁉️⁉️
km 74Kutoka Tabora mjini hadi Skonge ni km ngap?
Fafanua asali inavyoharibiwa na tumbaku mkuuAsali nyingi lkn ubora wake unaharibiwa na tumbaku
Huwezi pigwa limbwata kama huna pesaVip kuhusu kuloga/urozi na limbwata
Nyoka sio tishio kwa sasa technologia inayo solutionAina gani ya nyoka anasumbua huko Sikonge?
Wanatumia dawa katika kupulizia, pia tumbaku ina nicotine ambayo adhali zake zinajulikana, sasa nyuki wanavyotengeneza asali huwa wanatumia maua ya tumbaku na side effects unakuta Kuna chembechembe za nicotine, kwa sasa hivi walinaji wamepewa vibali ili waende kwenye maeneo tengefu ili kupunguza athali hiziFafanua asali inavyoharibiwa na tumbaku mkuu
WANAENDEKEZA SANA. TENA SANA. ACHA KUDANGANYA WATU.Wanyamwezi hawaendekezi sana mambo ila yapo
Anadanganya.... Wanyamwezi washirikina sana wa mapenzi.Aaah weee usitudanganye..nina mtoto huko tutuo na hao waarabu wenu, sikonge nina jamaa yangu huko kwao mambo aliyonieleza ya huko hapa wala usiwatetee mkuu.
Ni watu wanaoamini sana katika hayo mambo tena dawa yao maarufu inawekwa sehemu ya siri ya mwanamke halafu anakuja kukuchanganyia kwenye chakula.huchomoki.Vip kuhusu kuloga/urozi na limbwata