Niulize chochote nitakujibu

Niulize chochote nitakujibu

Wanawake tunatofautiana kihisia

Ni kweli wengine wanadai usimwandae ila wakati wa kusex mchukue muda mrefu ndo anaenjoy

Wengine wanasema lazima umuandae ili njia iwe laini na mwili uwe tayari kufanya kazi ile

Wanawake hisia zetu zipo mwilini,hasa anapopapaswa na maneno ya kimahaba ambayo unakuwa unamwambia, tofauti na mwanaume hisia zake zipo machoni,akiona sehemu ya siri au maeneo Fulani ya mwanamke ubongo unapata taarifa mnara unasimama ghafla iwe faragha au mtaani
Uko sahihi, ilishawahi kukutokea siku tu uko na bf wako mnapiga stori tu na kutaniana (sio kushikana) ukaona mnara wake umesoma ukatamani hadi K ikaloa?
 
Mimi najijua maana kwa siku natongozwa na wanaume 100
Ni kweli ila ungekuwa mzuri ungeolewa[emoji23][emoji23]

Alafu kutongozwa na wanaume 100 hii ina maana wewe ni mtu unaijilainisha na pia huna kazi za kufanya na pia ni cheap sana

2. Unahisi kutongozwa ndio kuwa mzuri?
 
Ni kweli ila ungekuwa mzuri ungeolewa[emoji23][emoji23]

Alafu kutongozwa na wanaume 100 hii ina maana wewe ni mtu unaijilainisha na pia huna kazi za kufanya na pia ni cheap sana

2. Unahisi kutongozwa ndio kuwa mzuri?
Kutongozwa na kutumika ni vitu viwili tofauti,cheap sio kutongozwa unakuwa cheap kama utoa kwa kila anayekutongoza
 
Kutongozwa na kutumika ni vitu viwili tofauti,cheap sio kutongozwa unakuwa cheap kama utoa kwa kila anayekutongoza
Mwanaume hawezi kukutongoza kama hujampa mda wako... Hii inamaanisha kwa siku unawapa mda wako wanaume 100.. Wewe ni cheap sana hata kama hutoi... Kwa week wanaume 700 na kwa mwezi wanaume 2800 ambayo kwa mwaka ni 33600[emoji41][emoji41] sawa na idadi ya wanafunzi wa vyuo vikuu 10 hapa Tz
 
Mwanaume hawezi kukutongoza kama hujampa mda wako... Hii inamaanisha kwa siku unawapa mda wako wanaume 100.. Wewe ni cheap sana hata kama hutoi... Kwa week wanaume 700 na kwa mwezi wanaume 2800 ambayo kwa mwaka ni 33600[emoji41][emoji41] sawa na idadi ya wanafunzi wa vyuo vikuu 10 hapa Tz
Haya bwana
 
Back
Top Bottom