Niulize jambo lolote, kuhusu chochote nitakujibu na utanielewa..

kuna dawa yeyote ya kurudisha uimara wa uume legelege uliosababishwa na punyeto?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nasikia wanasema hivyo mitaani,ila dawa sahihi ni kula aina ya vyakula vinavyoweza kurudisha uimara wa misuli kama ifuatavyo...
Chukua kitunguu swaumu,tangawizi,asali,aloevera na karanga
Jinsi ya kufanya
1.chukua kitunguu swaumu punje 2-4
2tangawizi mfano wa kidole gumba
3.aloevera mfano wa urefu wa kidole cha mwisho
4.karanga zikaange zifikie kiwango cha kitoa maganda tu zisiive kabisa
5.saga vyote kwenye blender au twanga kwenye kinu weka na maji kikombe kimoja,kisha weka asali vijiko viwili kunywa huo mchanganyiko mara mbili kwa siku tano,asubuhi na jioni,karanga zisijae mkono ziwe kama unachota maji na mkono hivi

by emma mjasiriamali
 
Kwanini zoezi la ukaguzi wa vyeti bandia lilifanyika kwa watumishi wa kawaida tu lakini watumishi wa ngazi ya juu kama mawaziri, makatibu wakuu, wakuu wa mikoa na wilaya hawakuguswa? tatizo ni nini?
Hao uliowataja ni wa kuteuliwa,mteuliwa hawaangalii vyeti vyake wanaangalia uwezo wake wa kufanya mambo,ndio maana waliachwa...

by emma mjasiriamali
 
Ni mbunge gani wa chadema anayesubiriwa ccm kama ilivyo andikwa kwenye gazeti la RAI la leo.Nimeona kwenye vichwa vya habari kwenye TV
 
Kwanini wanaume wengi wana tabia ya kuwapiga wake/wapenzi wao?
Wahanga wa kuwapiga wenzi wao ni wanaume wengi ambao wamechoshwa ama hajaridhishwa na mambo yanayofanya na wenzi wao...
Kwanini wanawapiga sasa!!!!
Ni kwakuwa mwanaume huwa mara nyingi ana subira na uvumilivu hii inamfanya mwanamke azoee na aone ni lazima mwanaume amvumilie anajisahau kuwa ni jambo la utashi tu,mwanamke akishindwa kuelewa huo uvumilivu anajikuta anadundwa,ila mengine ni wivu wa wanaume..mwanaume ni kiumbe ambaye anawivu sana,wanatabia ya kuconclude mambo kichwani,yaani anajiuliza na kujijibu mwenyewe...na mara nyingi majibu yao huwa negative.

by emma mjasiriamali
 
Nahitaji milion 1.5 kama mkopo na sina dhamana pengine zaidi ya vyeti tu nitafanyaje?
Jambo gumu ila unaeza kufanya mambo machache yakakufanikishia,
1 kama una rafiki mnayeaminiana anaweza akakuwekea dhamana kupitia vitu vyake....
2 au wewe utafute vihela kidogo upate leseni na mlango wa biashara uwatafute wakopeshaji mfano vision found,mfuko wa raisi nk
3 jingine kuna hela zinaitwa za moto ila hizi zina riba kubwa sana na zinahitaji sikushauri.

by emma mjasiriamali
 
Ni mbunge gani wa chadema anayesubiriwa ccm kama ilivyo andikwa kwenye gazeti la RAI la leo.Nimeona kwenye vichwa vya habari kwenye TV
Kwenye siasa sipo sana,nawafuatilia wanaotake headlines...na huyo anayeenda ccm lazima hana kiki bado ndio maana amekuwa siri maana haonekani,pia ni udaku tu haiwezekani kitu kama hicho

by emma mjasiriamali
 
Mi nambie nani mtu wa kwanza kuzaa mapacha na wapi ilipotoka KULWA na DOTTO

Sent using Jamii Forums mobile app
Tafiti yangu inaonyesha anaitwa rebekah na mume wake abraham,na hao mapacha ni jakobo na esau....kuhusu kulwa na dotto limeanzia wapi mkuu nisidanganye

by emma mjasiriamali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…