super black
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 566
- 533
Kwaio hiyo orodha iliyopo sasa hivi ni asilimia 35 tu au??Luqnation....ni asalimia 65 ya walioachw awamu ya pili
by emma mjasiriamali
Logistics....ni uwezo wa kuvisimamia au kuviendesha vitu vingi au vikubwa kwa wakati mmojaNaomba kiswahili cha neno logistics...
What is the difference between inter-modal and multimodal transport?
Kiongozi kupata hela ni jambo dogo sana ila linahitaji uvumilivu na mipango thabiti....ningejua unachofanya kwasasa ingekuwa rahisi kukutoa hapo ulipo,ila kwakuwa sijui tunaanza upya...
Kama lilivyoneno lenyewe inamaanisha kubashiri,hii inamaanisha sio kila anayebashiri anapatia,kwahiyo wanaopatia ndio wanaoweza kuongeza kipato.
Ndio mkuu,maana wakati unapiga punyeto unatumia nguvu kuukaza uume wako ili kufikia mshindo,jambo hilo linasababisha misuli kupunguza uwezo wake wa kusimama kwa muda mrefu kama zamani,pia inakuathiri kisaikolojia ukiendekza...piga punyeto kwa wastani sio ikawa kawaida.
Thank you
Ipo chini ya hapo mkuuKwaio hiyo orodha iliyopo sasa hivi ni asilimia 35 tu au??
Sent from my VFD 200 using JamiiForums mobile app
1.soft starter-kifaa kinachotumia umeme kazi kubwa ni kuipunguzia mzigo mashine na kucontrol current...hasa hutumika kwenye motor za train za umemeNaomba kiswahili cha maneno haya;
1. Soft starter
2. Programmable Logic Controller
3. Variable Frequency Driver
Baada ya kuyatafasiri kwa lugha yetu, naomba maelezo machache kwa kila kimoja!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuifungua chakra ya tumboni lazima kwanza uelewe kuwa kila chakra ipo tied na certain stone,ukivaa hilo jiwe,au ukiliweka kwenye mkoba au kuliweka chini ya mto inasaidia kufungua chakra....hiyo ya tumbo ni ya njano kwa jina la ughaibuni linaitwa solar plexus chakra...hii inaambatana na rangi ya njano,ukifanikiwa kupata germstones za njano kati ya hizi zifuatazo itakusaidiamkuu naomba uniaidie namna rahisi ya kufungua chakra ya tumboni
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]1.soft starter-kifaa kinachotumia umeme kazi kubwa ni kuipunguzia mzigo mashine na kucontrol current...hasa hutumika kwenye motor za train za umeme
2.programmable logic controller-ni computer za kidijitali ambazo zimeadaptishwa kufanya utengenezaji wa mbali mbali viwandani,hasa hutumika mahali ambapo vitu heavy vinafanyika...mfano kitengeneza robot nk
3.variable frequency driver-ni aina fulani ya kifaa kinachocontrol mota kwa kuzingatia frequency na voltage....pia hichi kifaa moja ya tabia zake ni kuwa unaweza kuadjust vile unataka speed ya mota iwe
by emma mjasiriamali
Watakushambulia wewe😀Hadi sasa hakuna dalili ya nani atakuwa raisi,hata atakayetokea ataanza kuonekana mwaka wa nane wa madarakani wa magufuli,kwasasa wanashindwa kuonyesha interest wanahofia mkuu,ila atatoka chama tawala pia...na upinzani itapunguza wabunge bungeni kwa kiasi kikubwa kwa kusalitiana na unafiki itakaojitokeza...Muungano wa ukawa utabaki jina
by emma mjasiriamali
Sijaridhika na majibu yakoLogistics....ni uwezo wa kuvisimamia au kuviendesha vitu vingi au vikubwa kwa wakati mmoja
Inter-modal means involving two or more different mode of transport as multimodal means the same article.
by emma mjasiriamali
Ni kweli.Hivi unadhani kwanini ni rahisi kubadili dini kuliko kubadili kabila???