jiwekuu770
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 2,246
- 1,645
kama kichwa Kilivo
Niulize swali lolote la kijinga au ujinga
Niulize swali lolote la kijinga au ujinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pundamilia haamini simba alivyolegea..! Ila ajiandae kuwa kitoweo mechi ikiisha..kama kichwa Kilivo
Niulize swali lolote la kijinga au ujinga
![]()
Mkuu, nasikia wewe ni mjingakama kichwa Kilivo
Niulize swali lolote la kijinga au ujinga
Kwa kweli mi namjinga ww n Ndugu wa Tangu Siku nyingiwewe na mjingamimi mna undugu?
La hasha hadithi zilitumika kuwakilisha tabia za watu fulan katika jamii badala ya kuwataja majina yao!! Ktk kutoa mafunzo husikaHivi hizi hadithi za kale zilizokuwa zikiwahusu wanyama has a sungura na fisi.
Ni kweli hapo zamani za kale wanyama hawa walikuwa wanaongea na kushirikiana kama wanadamu wafanyavyo?
Anashangaa kama baunsa nae kuna mda anakua kama mlenda vilePundamilia haamini simba alivyolegea..! Ila ajiandae kuwa kitoweo mechi ikiisha..
Kila mtz kua Na Noah Yake subir had Wazungu watapofkia teknologia ya kuhamia sayar ya mars ndipo tutafka huko!!... Ila vuta subiraEti mkuu ni kweli kila mtz atakuwa na noah yake
Embu niambie vp kuhusu ajiri zinatoka lini zile ajira elfu hamsin na mbili
Swali la mwisho nasikia baba mwenye nyumba ni mtu wa dini hama vinyongo na wala hatak shari na mtu ni kweli
Kwa kweli Mkuu mi mwenyewe cjui ila wananisingizia tuMkuu, nasikia wewe ni mjinga
We unaonaje
Hahahaaa. Kwa kweli wanakusingizia tu maana hata picha yako inaonesha wewe sio mjinga, binadamu waongo sana.Kwa kweli Mkuu mi mwenyewe cjui ila wananisingizia tu
Sasa kwann sungura hadithi zile zilikuwa zinamfanya mjanja kuliko fisi?La hasha hadithi zilitumika kuwakilisha tabia za watu fulan katika jamii badala ya kuwataja majina yao!! Ktk kutoa mafunzo husika
Swadata Mkuu!! Nafikir umejioneaHahahaaa. Kwa kweli wanakusingizia tu maana hata picha yako inaonesha wewe sio mjinga, binadamu waongo sana.